
Leo hii mwenyekiti wa uchaguzi wa TFF, ametangaza rasmi kusimamisha uchaguzi wa klabu ya Yanga ambao ulipangwa kufanyika tarehe 13/1/2019.
UCHAGUZI YANGA
Hatua hiyo imefikiwa baada ya baadhi ya wanachama wa Yanga katika mikoa ya Dar-es-Salaam, Mbeya na Dodoma kwenda mahakamani kufungua kesi ya kupinga uchaguzi huo.
Pia mwenyekiti huyo wa uchaguzi ametangaza rasmi kusitisha zoezi la kampeni. Tarehe rasmi ya uchaguzi na kampeni itatangazwa jumatatu ijayo.
Unaweza soma hizi pia..
Kola tishio jipya kwa Onyango na Inonga
Hazikupita siku nyingi Mayele akakutana na Simba na kutiwa mfukoni na Mcongo mwenzake Inonga Baka na kupeleka kuzima mtetemo wake
Mbinu mpya za Yanga zilizoacha lawama kwa kipa wa Dodoma Jiji
Nasredeen Nabi ilimlazimu kutoka katika mfumo wake wa siku zote wa kumtegemea Fiston Mayele na kubadili mbinu ili kupata ushindi.
Kipa Dodoma katolewa tuu kafara!
Ndani ya miaka miwili unataka kuniambia ameisha kabisa? Je hatupaswi kumshukia kocha wake wa makipa?
Alli Kamwe: Yanga imeifunga Yanga B!
Bao la 2 la Yanga ni OFFSIDE. Kama Shuti la Mauya lingekwenda moja kwa moja, hakuna tatizo.