
Zahera, Kocha wa Yanga
Baada ya Yanga kuachana na Mwinyi Zahera kama kocha mkuu wa Yanga. Kumekuwa na habari kuwa kocha huyo amepata nafasi katika klabu ya As Vita.

As Vita ambayo ni timu kubwa barani Afrika iliyoko Congo , msimu juzi ilifanikiwa kuingia katika fainali ya kombe la shirikisho barani Afrika.
Mwinyi Zahera alifukuzwa na Yanga Baada ya yeye kutolewa katika michuano ya CAF baada ya kufungwa na Pyramid FC ya Misri
Unaweza soma hizi pia..
Waandishi wa habari za michezo waigalagaza Unitalent.
Unitalent hawakuishia tuu kufungwa mabao mawili lakini pia waliteseka uwanjani haswa katika eneo la kiungo
Kwanini Boban Hakuyapenda Maisha Ya Ulaya…?
Yumkini Haruna Moshi alishawishiwa kutokukipenda ambacho kingemsaidia maishani. Soma stori hii
Manara: Tunataka kuujaza uwanja Jumamosi!
Msemaji huyo pia ameonyesha ni kwa kiasi gani wamedhamiria kuujaza uwanja huku akitangaza neema kwa mashabiki wa Yanga wataokata tiketi kwenda uwanjani.
Hivi ndivyo tulivyomuua Samatta wetu.
Mimi siyo mpenzi wa mpira wa miguu ila nilisikia Rafiki zake wakimwiita Ronaldinho Gaucho,