Saido Mane apagawa na Diamond Platnumz !
Jana kulikuwa na halfa ya utoaji tunzo za soka barani Afrika zinazoandaliwa na shirikisho la soka barani Afrika (CAF) ambapo tulishuhudia mchezaji wa Senegal na Liverpool ya England akiibuka kuwa mchezaji bora wa Afrika kwa mara ya tatu mfululizo. Katika halfa hiyo , mwanamuziki wa Tanzania, Diamond Platnumz aliarikwa kwenda...