
Watanzania wengi wamekuwa na hamu ya kumuona Mbwana Samatta akiwa kwenye ligi ya England ligi ambayo inafuatliwa na watu wengi duniani. Na ndiyo ligi pendwa hapa nyumbani Tanzania.
Norwich wanaonekana kuhitaji huduma ya Mtanzania huyo anayekipiga KR Genk kwa sasa . Norwich imeshapeleka ofa mbalimbali kwenye timu ya KR Genk kwa ajili ya kumsajili Diego Captain Mbwana Samatta.
Mara ya kwanza Norwich walitoa ofa ya Euro 10M lakini Leo hii wameongeza ofa na wametoa Euro 11 kwa ajili ya kumsajili Mbwana Samatta.
Endapo Mbwana Samatta “Diego Captain” atasajiliwa atakuwa Mtanzania wa kwanza kucheza ligi kuu ya England kama alivyokuwa Mtanzania wa kwanza kucheza ligi ya mabingwa barani Ulaya.
Unaweza soma hizi pia..
Manara ataja timu atakayokwenda Morrison.
Kila lakheri huko uendako, kwa taarifa nilizozipata mida hii najulishwa unaelekea klabu kubwa Barani Afrika
Said Ndemla awa lulu, wababe wanataka kumrudisha mjini.
Said Ndemla alijiunga na Mtibwa msimu huu akitokea Simba Sc baada ya aliyekua kocha wa wa Simba wakati huo Didier Gomes kumkataa
Sakho agombewa Afrika Kusini, Kaizer na Orlando wamtolea macho!
Ikiwa ana msimu mmoja tuu na Simba akijiunga nao akitokea Teungueth ya nchini kwao Senegal ameonekana kuwa moja ya nyota tishio kwa Wekundu wa Msimbazi.
Hivi ndivyo tulivyomuua Samatta wetu.
Mimi siyo mpenzi wa mpira wa miguu ila nilisikia Rafiki zake wakimwiita Ronaldinho Gaucho,