Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
Zimebaki asilimia 10 tu kwa Libya kuipiku Tanzania nafasi 4 za uwakilishi michuano ya vilabu CAF.Matokeo ya jana Kati ya Ac Djoliba toka Mali dhidi ya Al Nasr Bhengazi toka Libya kwa Ac Djoliba kukubali kichapo Nyumbani 0-1 yameiweka Al Nasr kwenye nafasi Bora kufuzu hatua ya robo fainali michuano...
Ligi kuu Tanzania bara inazidi kuendelea kwa kasi huku Simba akionekana ana njaa ya kulichukua tena kombe hili. Pamoja na njaa iliyopo kwa Simba , Yanga msimu huu imejitahidi kujiimarisha vya kutosha ili kupambana na Simba. Yikpe Katika harakati za kujiimarisha zaidi Yanga imejikuta ikiweka rekodi kubwa. Yanga imeweka rekodi...
Kuna wakati Yanga walimwihitaji sana Emmanuel Okwi. Uzuri ni kwamba wakati huo ndiyo ulikuwa wakati ambao Yanga wangefanya chochote bila klabu yoyote kuizuia Yanga.
Baada ya tetesi nyingi hatimaye Mbwana Samatta amewaaga wachezaji wenzake wa KR Genk kwa ajili ya kujiunga na ligi pendwa duniani , ligi kuu ya England. Hii ilikuwa ndoto ya Watanzania wengi kushuhudia Mtanzania akiwa anacheza kwenye ligi ambayo ni kubwa ligi ambayo inafuatiliwa kwa kiwango kikubwa. Kwa mjibu wa...
Simba wamewazidi tena kwa Mara ya pili kwenye dirisha hili dogo la usajili. Kwa miaka ya hivi karibuni Simba imekuwa ikiwazidi Yanga kwenye usajili dakika za mwisho.
Leo kulikuwa na mchezo wa ligi kuu kati ya Yanga na Kagera Sugar katika uwanja wa Uhuru , mechi ambayo imemalizika kwa Kagera Sugar kuifunga Yanga kwa magoli matatu kwa Bila. Hiki ni kipigo cha kwanza cha kocha mpya Luc Eymael akiwa kama kocha mpya wa Yanga. Hii ilikuwa mechi...