Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
Yanga imeshatoka kwenye michuano ya kombe la mapinduzi, inarudi tena Tanzania bara kupambana kwa ajili ya ligi kuu Tanzania bara pamoja na kombe la shirikisho. Jumatatu Simba itakuwa inacheza na Mtibwa Sugar kwenye fainali ya kombe la mapinduzi. Timu zote zimeingia fainali Baada ya kushinda kwa changamoto ya mikwaju ya...
Baada ya kuwepo na tetesi kuhusu James Kotei kutemwa na klabu yake ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, Leo hii imedhibitishwa kuwa James Kotei atakuwa katika ardhi ya Tanzania kwa ajili ya kujiunga na klabu ya Yanga. Kiungo huyo wa zamani wa Simba anatarajiwa kujiunga na mabingwa hao wa kihistoria...
Jana kulikuwa na nusu fainali ya kombe la mapinduzi kati ya Mtibwa Sugar na Yanga . Mechi ambayo ilimalizika kwa Mtibwa Sugar kushinda kwa changamoto ya mikwaju ya penalti (4-2) Baada ya kutoka sare ya (1-1) kwenye muda wa kawaida. Baada ya mechi hiyo Afisa Mhamasishaji wa Yanga , Antonio...
Baada ya kupata nafasi ya kutumbuiza kwenye tunzo za CAF, mwanamuziki nyota wa Tanzania, Diamond Platinumz ameelezea vitu ambavyo amejifunza kwenye tunzo hizo. "Wakati nipo Cairo kila mtu niliyekuwa nazungumza naye alikuwa anamzungumzia Mbwana Samatta, natamani tungekuwa na watu wengi wanaiowakilisha nchi " -alisema Diamond. Alipoulizwa namna alivyojipanga kuandaa vijana...
Yanga imemtangaza rasmi Mrithi wa Mwinyi Zahera ambaye alikuwa kocha wa Yanga , Baada ya Mwinyi Zahera kuachana na Yanga , Yanga walibaki na Charles Boniface Mkwasa kama kocha wa muda. Wamemtaja rasmi Kocha mpya ambaye ni Luc Eymael , ni kocha ambaye ana uzoefu mkubwa sana na soka la...