Mwina Kaduguda IN , Said Tully OUT.
Uchaguzi wa Simba umemaliza Jana usiku wa saa nane ambao ndiyo muda ambao wa matokeo yalipotangazwa. Uchaguzi huo umeshuhudia baadhi ya viongozi ambao walikuwepo katika awamu iliyopita kutochaguliwa tena. Viongozi ambo walikuwepo katika awamu iliyopita na hawakuweza kufanikiwa kutetea nafasi zao ni wajumbe wa kamati tendaji ambao ni Iddy Kajuna,...