Martin Kiyumbi

Mchambuzi
Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
Blog

Mwina Kaduguda IN , Said Tully OUT.

Uchaguzi wa Simba umemaliza Jana usiku wa saa nane ambao ndiyo muda ambao wa matokeo yalipotangazwa. Uchaguzi huo umeshuhudia baadhi ya viongozi ambao walikuwepo katika awamu iliyopita kutochaguliwa tena. Viongozi ambo walikuwepo katika awamu iliyopita na hawakuweza kufanikiwa kutetea nafasi zao ni wajumbe wa kamati tendaji ambao ni Iddy Kajuna,...
Ligi KuuTetesi

Baada ya tishio la BMT, Manji kurejea rasmi Yanga

Baada ya jana Baraza la michezo Tanzania (BMT) Kuitaka klabu ya Yanga kufanya uchaguzi kuziba nafasi za viongozi ambao walijiudhulu na kuacha nafasi hizo wazi, kuna taarifa ya kuwa aliyekuwa mwenyekiti wa klabu hiyo Yusuph Manji anatarajia kurejea rasmi katika klabu hiyo. Yusuph Manji ambaye aliandika barua ya kujiudhulu Uenyekiti...
Ligi Kuu

Ni ngumu Yanga kubeba Ubingwa ukiwa na MAKAMBO

Jana nilikuwa napitia maoni ya mashabiki wa Yanga, ambao kwa kiasi kikubwa walikuwa wanaonekana wana furaha sana. Furaha yao imejengwa kwa wao mpaka sasa hivi kutofungwa katika mechi 9 walizocheza. Ni mwanzo mzuri sana wa ligi, mwanzo ambao unatia matumaini sana, na ni mwanzo ambao Mwinyi Zahera na kikosi chake...
Ligi Kuu

CHAMA amekuja kuua “UFALME” wa NIYONZIMA!

Kabla hata hajavaa jezi ya Simba alikuwa tayari mfalme! , Mfalme wa burudani uwanjani, Mfalme ambaye wengi walikuwa wanaamini kuwa alikuwa katika eneo ambalo siyo sahihi. Hata msemaji wa Simba, Haji Manara alikuwa anaamini kabisa kuwa Haruna Niyonzima alikuwa hafai kabisa kuchezea Yanga. Aina ya mchezo wa Yanga ulikuwa hauendani...
Ligi KuuTetesi

Njaa Yanga yasababisha kina AJIB kugoma!

Kuelekea katika mchezo dhidi ya KMC kuliripotiwa kuwa Ibrahim Ajib anaumwa na asingeweza kucheza katika mchezo huo. Kwa habari za ndani ya klabu ya Yanga , Ibrahim Ajib yupo katika mgomo baada ya kutolipwa mshahara wa miezi miwili. Hali inaonekana ni tête katika klabu ya Yanga na imepelekea baadhi ya...
Ligi Kuu

Namkumbuka “MAFISANGO” Kila nikimuona “CHAMA”.

Niliwahi kumshuhudia Patrick Mafisango, macho yangu hayakujutia hata mara moja kila taswira yake ilipokuwa inapenyeza kwenye mboni ya jicho langu. Mboni ya jicho langu ilibarikiwa sana na burudani ambayo ilikuwa inatoka katika miguu ya Patrick Mafisango. Ilikiwa burudani haswaa!, alikuwa anastahili kuitwa fundi. Aliweza kutengeneza kila aina ya kifaa au...
Ligi Kuu

Simba ina kikosi kipana na imara kuzidi Yanga.

Ligi kuu Tanzania bara inaendelea , huku ushindani ukiwa mkubwa. Huwezi kuacha kutaja ushindani bila kuacha kuwaongelea Simba na Yanga. Hawa ndiyo wazazi wa mpira wetu. Mpaka sasa timu hizi zimeshaonesha uwezo wao, lakini kuna tofauti moja tu inayowatofautisha wawili hawa. Tofauti hiyo ni Upana wa vikosi viwili. Msimamo wa...
EPL

Mmiliki wa Leicester City afariki dunia.

Mwaka 2016 Vichai Srivaddhanaprabha na familia nzima ya Leceister City walitupatia mashabiki wa soka muujiza ambao hautajirudia tena miaka ya karibuni. Tutawakumbuka daima, baada ya Leicester City kuchukua ubingwa wa dunia akiwa na kikosi cha gharama ndogo. Mungu azilaze pema peponi roho za wote waliokuepo kwenye ajali ya Helicopter iliyotokea...
Blog

Simba yenye NDEMLA ni hatari zaidi kuliko Simba yenye MKUDE!.

Said Khamis Ndemla, mara nyingi tumekuwa tukimuona anacheza katika eneo la kiungo mshambuliaji. Lakini katika mechi mbili zilizopita (mechi dhidi ya Stand Unite na mechi dhidi ya Alliance). Said Khamis Ndemla alicheza katika eneo la kiungo wa chini. Amecheza kama HOLDING MIDFIELDER. Eneo ambalo mara nyingi James Kotei na Jonas...
Ligi Kuu

Mmiliki wa Alliance watofautiana na kocha wake.

Jana timu ya soka ya Alliance Schools kutoka Mwanza ilikuwa inacheza na timu ya Simba katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ambapo Simba iliifunga Alliance Schools magoli 5 kwa 1. Katika mchezo huo ambao ulianza kuwa na hali ya kutofautiana kati ya kocha mkuu wa Alliance Schools na...
1 56 57 58 59 60 79
Page 58 of 79