Martin Kiyumbi

Mchambuzi
Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
Ligi Kuu

Ajib kutocheza Leo!

Kiungo wa klabu ya Yanga, Ibrahim Ajib imeripotiwa kuna asilimia kubwa ya yeye kutocheza katika mchezo wa leo dhidi ya KMC. Ibrahim Ajib amepata majeraha Jana akiwa mazoezini, na imeripotiwa majeraha hayo yanaweza kumsababisha Leo asiwepo kwenye mechi ya Leo. Hili ni pigo kubwa sana kwa Yanga kumkosa Ibrahim Ajib...
Blog

“NDEMLA” toka “TANZANIA” isiyo na “NIA” na wewe!

Kila mguu wake unapokanyaga nyasi za uwanja wa taifa kuna kipya hutokea. Hii ni kwa sababu udongo mwingi wa kutengenezea vipaji ulitumika katika miguu yake. Mwili wake ni mdogo sana!, udogo wa umbo lake ulisababishwa na MUNGU kutumia wingi wa udongo kuumba miguu ya Said Khamis Ndemla. Hili ndilo eneo...
Blog

Zahera Anakubaliana na Mimi kuwa Ajib ni Mchezaji wa mechi Ndogo??

Niliwahi kuandika kuhusu uwezo wa Ibrahim Ajib Migomba. Maandishi yangu yalionesha dhahiri ninavyomkubali na kumuelewa Ibrahim Ajib Migomba. Naamini kupitia miguu ya Ibrahim Ajib Migomba, naelewa kupitia kipaji chake kabisa. Mimi ni mmoja wa watu ambao najivunia mboni za macho yangu kuona kipaji kikubwa kwenye miguu ya Ajib. Miguu ambayo...
Blog

Amy Ninje ni Boss Mpya wa Amunike.

Kamati ya utendaji ya TFF imemteua aliyewahi kuwa kocha wa Ngorongoro Heroes na Timu ya taifa ya Tanzania bara "Kilimanjaro Stars" kuwa mkurugenzi wa ufundi wa TFF. Amy Ninje anachukua nafasi hiyo kutoka kwa Oscar Milambo ambaye alikuwa anakaimu nafasi hiyo baada ya aliyekuwa mkurugenzi wa ufundi wa TFF Mzee...
Blog

Mkeka wa “Kumfilisi Mhindi” jumamosi ya leo.

Roma vs SPAL 2013 Roma kushinda. Sababu. Form ya sasa kwa hizi timu. Mechi tano zilizopita, Roma ameshinda mechi 4 na kufungwa mechi 1. Wakati SPAL 2013 katika mechi tano zilizopita imeshinda mechi 1 na kufungwa mechi 4. Katika mechi tano zilizopita kati ya Roma na SPAL 2013, Roma hawajafungwa...
Blog

Mo apatikana

Tajiri namba moja kijana Afrika na mfanyabiashara maarufu hapa nchini Mohammed Dewji amepatikana akiwa ameterekezwa katika viwanja vya Gymkhana Posta jijini la Dar-es-Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari kamanda wa kanda maamulumu wa Dar-es-Salaam, Lazaro Mambosasa amedhibitisha kuwa walipata taarifa kuwa Mohammed Dewji majira ya saa nane usiku katika viwanja...
Blog

Hiki ndicho kitu mhuhimu toka kwa Mhe. Rais

Asubuhi ya leo tulipata taarifa za Kuitwa kwa timu ya Taifa pale Ikulu, wapenzi wanamichezo wote walikuwa na shauku kujua kuna jambo gani. Ingawa tulijua ni kuhusu safari yetu ya Cameroon 2019, lakini shauku ilikuwa kubwa kujua Mhe. Rais Dkt John Pombe Magufuli ataongea nini. Hii ni sehemu ya taarifa...
Blog

Niliwahi kumuona “GUARDIOLA” Kwenye mwili wa “DJUMA”.

Historia iliwahi kuniaminisha kuwa Joseph Omong atafanya vizuri katika klabu ya Azam Fc. Nilikuwa na imani kubwa sana juu ya hili. Kwanini niliamini hivi ?, Azam Fc ilimchukua kocha ambaye aliwahi kushinda kombe la shirikisho barani Africa akiwa na AF Leopards. Niliamini kupitia mafanikio haya, niliamini Azam FC wamemchukua kocha...
1 57 58 59 60 61 79
Page 59 of 79