Yanga wamkosa Djuma
Aliyewahi kuwa kocha msaidizi wa timu ya Simba, Masoud Irambona Djuma, amepata timu nchini Rwanda kwa mkataba ambao ni " mnono" kwa mujibu wa vyanzo vyetu. Irambona Masoud Djuma amesaini mwaka mmoja kuinoa timu ya AS Kigali. Ataanza kazi rasmi leo bila winga wa kushoto mrundi Emmanuel Ngama aliesajiliwa na...