Martin Kiyumbi

Mchambuzi
Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
Blog

Mambo matano muhimu kwenye mkutano wa Yanga.

Leo kulikuwa na mkutano mkuu wa Yanga, mkutano ambao ulikuwa unafuatiliwa na watu wengi, haya ndiyo mambo matano muhimu yaliyotokea kwenye mkutano huo. 1: "Yanga imechaguliwa kuwa alama ya ukumbusho barani Afrika kama moja ya vilabu vilivyobeba alama ya uhuru wa Tanzania na uhuru wa bara la Afrika, Yanga ni...
Sportpesa

Sababu tano kwanini Simba atafungwa na GorMahia !

Leo fainali sportpesa inafanyika katika mji wa Nakuru ambapo itazikutanisha timu mbili moja kutoka Kenya ( Gor Mahia ) na nyingine ni kutoka Tanzania ( Simba). Zifuatazo ni sababu ambazo zinanipa imani kuwa Simba atapoteza mchezo wa leo. 1: Faida ya Uenyeji kwa Gor Mahia. Gor Mahia itakuwa katika uwanja...
Ligi Kuu

Naitwa Laudit Mavugo.

Miaka ishirini na nane (28) iliyopita mishipa ya pua yangu ilipewa ruhusa na mwenyezi Mungu kuvuta hewa ya mji wa Bujumbura katika nchi ya Burundi. Nchi ambayo ilikuwa na hali ya amani hafifu kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe. Sikuweza kujua ni eneo lipi sahihi ambalo litanifaa kusimama nikiwa...
Ligi Kuu

Hizi ndizo tofauti kati ya Simba na Yanga msimu huu.

Msimu umemalizika, msimu ambao tumeshuhudia Simba ikibeba kombe kwa mara ya kwanza baada ya miaka mitano huku Yanga akipoteza ubingwa wake baada ya kuchukua kwa mara ya tatu mfululizo, zifuatazo ni tofauti ambazo zilionekana kati ya Simba na Yanga msimu huu. 1: Kipa vs Golikipa Yanga walikuwa na kipa wakati...
Blog

Messi na Ronaldo siyo chochote kwa hawa!.

Inawezekana ndiyo wachezaji ambao wamegawana mashabiki katikati kwa kipindi cha muongo mmoja uliopita kama walivyogawa katikati tunzo ya Ballon D'or ndani ya miaka 10 iliyopita. Miguu yao imetufurahisha sana, ikatuliza sana kwa furaha na huzuni na kupelekea upande mmoja wa mashabiki kuwa na chuki na Messi na upande mwingine kuwa...
Ligi Kuu

Kuvaa koti zuri juu ya shati chakavu hakutoisaidia Yanga.

Hakuna kitendawili tena kwenye maisha ya Yanga, kwao wao maisha yao siyo fumbo tena kama tafasri halisi ya maisha ilivyo. Wanaishi kwenye maisha yaliyowazi, maisha ambayo yanawafanya wasiwepo katika dunia ya tambo na furaha. Wameshachagua dunia hii isiyopendwa na wengi, dunia ya huzuni na majonzi, dunia ya masimango na kubezwa...
Uhamisho

Ngassa alitakiwa aje Yanga kama kocha mchezaji.

Mrisho Khalfan Ngassa jina ambalo liliandikwa katika mioyo ya mashabiki wa Yanga, ni ngumu kulifuta katika mioyo yao kwa sababu mhuri wa moto ulitumika kuweka chapa ya jina la Mrisho Ngassa kwao. Chapa ambayo ilitokana na kiwango cha wakati huo cha Mrisho Khalfan Ngassa, kiwango ambacho ƙkilimpa heshima ambayo ilimfanya...
Blog

Zinedine Zidane ang’atuka Madrid

Kocha wa Real Madrid, Zinedine Zidane, ameachana na klabu hiyo siku tano baada ya kuipa taji la tatu mfululizo la klabu bingwa Ulaya. Zidane alitangaza uamuzi huo siku ya Alhamisi mbele ya rais wa klabu hiyo, Florentino Pérez. "Nimechukua huu umuzi wa kutokuendelea msimu ujao. Kwangu mimi na kwa kila...
Mabingwa Ulaya

Tatizo lilianza kwenye chozi la Salah.

Mwanzo mwa msimu ulianza na tabiri nyingi kuhusu maisha ya Zinedine Zidane pale Santiago Bernabeau. Wengi waliamini miguu yake haiwezi kudumu kukanyaga nyasi za Santiago Bernabeu. Tulimpa mwezi wa kuwepo Santiago Bernabeu, tukampa wiki mbili, Mwisho wa siku tukampa mechi tatu lakini akili ya Perez haikuwa kama tulivyokuwa tunawaza na...
1 65 66 67 68 69 79
Page 67 of 79