Thomas Mselemu, Mtaalamu wetu wa masuala ya masoko mwenye ujuzi wa kuchambua kandanda na kupiga picha pia, anaifanya familia ionekane familia. Kipaji chake na elimu anaitumia vyema kuiweka tovuti katika malengo yake.
Nchimbi ameiambia tovuti ataendelea kusaka mabao kadri ya nguvu za Mungu zitakavyomruhusu kuweza kufanya vyema na kutupia magoli. Huku pia akiahidi kuendelea kufunga "Hatrick" katika VPL.
Tunaongoza kwa alama 16 ili Yanga atufikie tunatakiwa tupoteze michezo mitano, sasa Sheikh Simba hii inafungwaje michezo mitano? Tutakua wapi? Au tutakua tumelewa au tumelala?