Blog

Mkusanyiko wa Habari na Matukio tofauti ulimwenguni kote.

Blog

TFF, japo ni chungu, mezeni tu.

Kipindi hiki kila nchi barani Afrika, Asia, America na Ulaya kote nyasi zinapambana na mikimikiki ya mashindano ya ligi mbalimbali, mashindano ya vilabu bingwa na mechi za kimataifa kila timu fikra, mawazo, mbinu mbadala za uchezaji na za kiutendaji zinafikiria wanafanyaje kufikia malengo yao makuu.
BlogLigi

Mwinyi Zahera ana U-Mourinho!

Hapa ndipo alipofanikiwa, aliweka sumu kali sana. Sumu ambayo iliwafanya wachezaji wawe na uwezo wa kupigana sana.Leo hii vizazi vinaikumbuka Fc Porto ya Jose Mourinho. Timu ambayo ilikuwa haitazamwi kwa kiasi kikubwa.
1 53 54 55 56 57 85
Page 55 of 85