Si tukio la kawaida sana katika soka lakini limejitokeza katika mechi ya Simba na Leopard. Chama alizozana na mwamuzi baada Mzamiru Yasin kumfanyia rafu mchezaji wa Leopard,
Kipindi hiki kila nchi barani Afrika, Asia, America na Ulaya kote nyasi zinapambana na mikimikiki ya mashindano ya ligi mbalimbali, mashindano ya vilabu bingwa na mechi za kimataifa kila timu fikra, mawazo, mbinu mbadala za uchezaji na za kiutendaji zinafikiria wanafanyaje kufikia malengo yao makuu.
“Kila mechi huwa tunajitahidi kuumiliki mpira na kujaribu kutengeneza nafasi nyingi za magoli, hata hapa tutafanya hivyo, sisi hatukuja kujilinda tumekuja kucheza”.
Hapa ndipo alipofanikiwa, aliweka sumu kali sana. Sumu ambayo iliwafanya wachezaji wawe na uwezo wa kupigana sana.Leo hii vizazi vinaikumbuka Fc Porto ya Jose Mourinho. Timu ambayo ilikuwa haitazamwi kwa kiasi kikubwa.