MO-DEWJI, hakuna mapinduzi yaliyofanyika bila kumwaga DAMU
Mapinduzi siku zote huja baada ya damu kumwagika. Matokeo mabovu wanayoyapata Simba kwa sasa ni hatua ya wao kufikia mapinduzi ya kweli ya mpira, naamini kuna funzo kubwa wanapata kupitia haya mashindano.