Tafiti za mwaka 1991 zinaonyesha kuwa mashabiki wengi wa soka hupenda kuzipa timu ndogo matumaini ya kupata ushindi ili kujihakikishia furaha katika mioyo yao.
Mshambuliaji wa Liverpool na timu ya taifa ya Misri, Mohamed Salah ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa mwaka 2018. Katika kinyang'anyiro hicho Salah amempiku rafiki yake Sadio Mane ( Liverpool) na Pierre Aubameyang wa Arsenal. Tuzo hiyo, inamfanya Salah achukue mara ya pili mfululizo....