Blog

Mkusanyiko wa Habari na Matukio tofauti ulimwenguni kote.

BlogMabingwa Afrika

Kwa kutumia kanuni hii, Simba haoo robo fainali Klabu Bingwa Afrika.

Ugumu wa mechi ya Simba vs As Club Vita utachagizwa na matokeo ya mechi za awali yaani Simba dhidi ya JS Saoura na AS Vita dhidi ya Al ahly. Jumla AS Club Vita wanaweza kupata alama 1-3 katika michezo yake miwili iliyosalia na mwisho wa siku kuwa na jumla ya alama 5-7.
Blog

Nantes watozwa faini kwa kuomboleza kupotea kwa Emiliano Sala.

Klabu ya soka ya Nantes ya nchini Ufaransa imepigwa faini kwa kosa la kuwasha mioto wakati wakiombeleza kupotea kwa mshambuliaji wao Emilliano Sala mwezi uliopita. Shirikisho la sok nchini Ufaransa limeitoza klabu hiyo faini ya shilingi milioni 43.7 baada ya mashabiki wake kuwasha baruti na mioto katikati ya bango kubwa...
Blog

Henry akingiwa kifua na Babu Wenger.

“Thierry Henry ana sifa zote za kuwa kocha mzuri na mwenye mafanikio” ni kauli ya kocha Arsene Wenger aliyoitoa Jumapili alipoulizwa kama kutimuliwa kwa Henry katika klabu ya AS Monaco kunaweza kumuathiri na kuharibu maisha yake ya ukocha. Wenger mwenye umri wa miaka 69 amesisitiza kuwa Henry bado ni kocha...
Blog

Wakina Solskjaer wamchefua Rais wa UEFA.

Rais wa Shirikisho la soka Barani Ulaya (UEFA) Aleksander Caferin amehuzunishwa na kitendo kilichofanywa na makocha wa timu kubwa barani humo cha kushindwa kuhudhuria mkutano wa kujadili matumizi ya Teknolojia ya Kumsaidia Mwamuzi (VAR). Caferin amesema kitendo walichokifanya Mameneja hao ni kama dharau kwa UEFA na mpira kwa ujumla kwani...
1 51 52 53 54 55 85
Page 53 of 85