Ugumu wa mechi ya Simba vs As Club Vita utachagizwa na matokeo ya mechi za awali yaani Simba dhidi ya JS Saoura na AS Vita dhidi ya Al ahly. Jumla AS Club Vita wanaweza kupata alama 1-3 katika michezo yake miwili iliyosalia na mwisho wa siku kuwa na jumla ya alama 5-7.
Klabu ya soka ya Nantes ya nchini Ufaransa imepigwa faini kwa kosa la kuwasha mioto wakati wakiombeleza kupotea kwa mshambuliaji wao Emilliano Sala mwezi uliopita. Shirikisho la sok nchini Ufaransa limeitoza klabu hiyo faini ya shilingi milioni 43.7 baada ya mashabiki wake kuwasha baruti na mioto katikati ya bango kubwa...
“Thierry Henry ana sifa zote za kuwa kocha mzuri na mwenye mafanikio” ni kauli ya kocha Arsene Wenger aliyoitoa Jumapili alipoulizwa kama kutimuliwa kwa Henry katika klabu ya AS Monaco kunaweza kumuathiri na kuharibu maisha yake ya ukocha. Wenger mwenye umri wa miaka 69 amesisitiza kuwa Henry bado ni kocha...
Tumkumbuke kupitia hospitali ya kimataifa ya Dodoma, tumkumbuke kupitia barabara na pia tumkumbuke kuwa ndiye aliyejenga huu uwanja lakini tuvae miwani ya kibiashara.
kwa dunia ni ya 91, na kwa Misri ni ya kwanza pia. AS Club Vita kwa Afrika ni ya 5, kwa kongo ni ya 2 na duniani ni ya 176. JS Saoura ni ya 53 kwa Afrika, ni ya 4 kwa Algeria na ni ya 644 kwa dunia. Wakati Simba ni ya 326 kwa Afrika, ya 1 kwa Tanzania na ni ya 1817 kwa dunia.
Rais wa Shirikisho la soka Barani Ulaya (UEFA) Aleksander Caferin amehuzunishwa na kitendo kilichofanywa na makocha wa timu kubwa barani humo cha kushindwa kuhudhuria mkutano wa kujadili matumizi ya Teknolojia ya Kumsaidia Mwamuzi (VAR). Caferin amesema kitendo walichokifanya Mameneja hao ni kama dharau kwa UEFA na mpira kwa ujumla kwani...