Uganda haitaibeba Stars zaidi ya kuifundisha.
GOLI la kichwa la mshambulizi, Patrick Henry dakika 11 kabla ya kumalizika kwa mchezo limeipa Uganda ´Korongo´ tiketi ya kufuzu kwa mara ya pili mfululizo fainali za Mataifa ya Afrika. Katika mchezo mgumu wa kundi L jioni ya Leo katika uwanja wa Namboole, Kampala wenyeji walionekana kama wangepoteza, kabla ya...