Blog

Mkusanyiko wa Habari na Matukio tofauti ulimwenguni kote.

Blog

Samatta uwanjani leo tena katika Europa

Group D: Fenerbahçe v Anderlecht Group G: Spartak Moskva v Rangers Rapid Wien v Villarreal Group H: Apollon v Eintracht Frankfurt, Lazio v Marseille Group I: Malmö v Sarpsborg Genk v Beşiktaş Group J: Krasnodar v Standard Liège Akhisar v Sevilla Group K: Astana v Jablonec Dynamo Kyiv v Rennes...
Blog

Natamani kumuona HENRY akiwa kocha bora kama alivyokuwa MCHEZAJI.

Dunia iliwahi kuwa sehemu kubwa ambayo vitu vingi vizuri viliwahi kuishi. Aliwahi kuishi Yesu kwenye dunia hii hii ambayo kila uchwao tunaamka na kukutana na jua. Waliwahi kuishi WAFALME wengi sana, hata MFALME SULEIMAN Aliwahi kuishi kwenye dunia hii. Pamoja na kwamba tunapita ila nafsi yangu inajivunia na Mimi kuishi...
Blog

Kipaji, nidhamu, changamoto lakini si wake za wachezaji wenzake.

Katika mojawapo ya matoleo ya mwisho mwisho ya Jarida la mpira wa miguu-Number10 mwezi April, 2011 niliandika makala iliyobebwa na kichwa cha habari ´Abdulhalim Humud: Aliipenda Simba, ila changamoto zimemshinda´. Ndani ya makala yale nilimchambua, Humud katika mambo makubwa matatu. Kipaji, nidhamu, na changamoto. Hakika si rahisi kupata kipaji kipya...
Blog

Wanayanga wanalazimisha kuona wakiwa wamefumba MACHO!

Hakuna mtaji mkubwa duniani kama maarifa, maarifa ndiyo mtaji mkubwa na wa kwanza kwenye dunia hii ambayo taarifa ndiyo mfalme wa mafanikio yote. Huwezi kupata mafanikio makubwa kwenye kitu unachokifanya bila kuwa na "taarifa" na huwezi kufikiria kupata taarifa kama huna "maarifa". Ni vitu viwili muhimu sana ambavyo vinategemeana sana...
Blog

Kuuli: Kamati ya maadili ya TFF ni sawa na mahakama ya Kangaroo.

Baada ya Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kumfungia maisha kutojihusisha na soka aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi TFF, wakili Revocatus Kuuli, mwenye amejitokeza na kubeza maamuzi hayo Akitaja hukumu hiyo, Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili TFF, Hamidu Mbwezeleni, alisema wamemfungia wakili huyo kutokana na kukiuka...
Blog

Stars yapaa kwenda Africa Kusini!

Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” imeondoka leo alfajiri kuelekea nchini Afrika Kusini kuweka Kambi kujiandaa na mchezo wake wa kutafuta tiketi ya kufuzu Afcon 2019 dhidi ya Lesotho. Kambi hiyo ya siku 10 itakuwa katika Mji wa Bloemfontein kabla ya kikosi hicho kuelekea mjini Maseru, Lesotho. Taifa Stars...
Blog

Niyonzima atemwa rasmi

Kiungo wa klabu ya Simba, Haruna Niyoñzima, ametemwa rasmi katika kikosi cha timu ya taifa ya Rwanda, baada ya kuitwa kwa miaka 11 mfululizo. Kikosi cha timu ya Taifa ya Rwanda kinajiandaa na mechi za kufuzu michezo ya Afcon. Kutemwa kwake kumesababishwa na yeye kutopata nafasi ya kucheza katika klabu...
Blog

Mwina Kaduguda IN , Said Tully OUT.

Uchaguzi wa Simba umemaliza Jana usiku wa saa nane ambao ndiyo muda ambao wa matokeo yalipotangazwa. Uchaguzi huo umeshuhudia baadhi ya viongozi ambao walikuwepo katika awamu iliyopita kutochaguliwa tena. Viongozi ambo walikuwepo katika awamu iliyopita na hawakuweza kufanikiwa kutetea nafasi zao ni wajumbe wa kamati tendaji ambao ni Iddy Kajuna,...
Blog

Timu ya Vijana Zanzibar yatangazwa.

Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Zanzibar ya Vijana chini ya umri wa miaka 20 Salum Ali Haji, ametangaza kikosi cha awali cha wachezaji 38, kwa ajili ya kujiandaa na Mashindano ya CECAFA ya Vijana yanayotarajiwa kufanyika Uganda Disemba 15-25, 2018 . Kocha Salum ametangaza kikosi hicho kwenye Ukumbi...
Blog

Usain Bolt bado anahaha kwenye Kandanda

Mwanariadha mstaafu Usain Bolt ameiaga klabu ya Central Coast Mariners baada ya kumaliza mazoezi ya kujiunga na timu hiyo ya nchini Australia bila ya kufuzu. Mjamaika huyo mwenye umri wa miaka 32, mshindi wa medali za olimpiki mara 8 mfululizo kwenye mashindano ya kusprint,Alijiunga na klabu hiyo August mwaka huu...
1 62 63 64 65 66 85
Page 64 of 85