Meddie Kagere anatupa funzo lingine muhimu katika soka.
MEDDIE Kagere alifunga goli lake la 12 tangu aliposainiwa Simba SC Julai iliyopita. Alifungamagoli manne na kuisaidia Simba kufika fainali ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati, tayari amefunga magoli saba katika ligi kuu Tanzania Bara, na goli lake la 12 dhidi ya Mbabane Swallows FC jana jioni katika ligi...