Blog

Mkusanyiko wa Habari na Matukio tofauti ulimwenguni kote.

Blog

Tuzo za BBC, watano watakaochuana kutangazwa Jumamosi.

Wachezaji watano wa kandanda watakaowania tuzo za mchezaji bora wa Afrika, tuzo ambazo zinatolewa na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) wanatarajiwa kutangazwa Jumamosi ya Novemba 17 mwaka huu. Majina hayo matano yatatangazwa wakati wa kipindi maalumu cha Luninga (BBC African Footballer of the Year programme) mjini Lagos nchini Nigeria...
Blog

Manji ni shujaa anayesalitiwa Yanga SC

WANACHAMA/ mashabiki na wapenzi wa Yanga SC wanaweza kupinga kila kitu- kumkataa mwenyekiti wao wa muda, Thobias Lingalanagala, Shirikisho la soka nchiniTFF na hata Baraza la michezo Tanzania ( BMT), lakini katu hawawezi kumshawishi, Yusuph Manji kurejea kuwa mwenyekiti wa klabu yao kwa mara nyingine. BARUA YA KUJIUZULU Nimewahi kuandika...
Blog

Vasilyvev: Henry sio mzima moto.

Makamu wa Rais wa klabu ya soka ya AS Monaco Vadim Vasilyev ameendelea kuonesha kumuamini kocha Thierry Henry licha ya kufanya vibaya katika michezo yake sita ya mwanzo toka alipokabidhiwa kibarua hicho. Vasilyvev amesema hawawezi kumjaza pressure ya kuondoka klabuni hapo kocha huyo ambaye ametoka sare michezo miwili na kupoteza...
BlogSerie A

Gonzalo Higuain aomba radhi.

Mshambuliaji wa AC Milan Gonzalo Huguain amewaomba radhi mashabiki wa klabu hiyo kwa kitendo chake cha kukosa penati lakini pia kupata kadi nyekundu ya kizembe wakati timu yake ikiadhibiwa mabao 2-0 na Juventus katika mchezo wa Seria A jana Jumapili. Gonzalo ambaye alipata nafasi ya kuisawazishia timu yake kwa njia...
Blog

Tunaamini kupitia MANJI IMARA na Siyo YANGA IMARA.

Dunia iko mbele sana, na imetuzidi hatua nyingi sana sisi WATANZANIA ambao tunaishi kwenye dunia yetu ya peke yetu inayoitwa TANZANIA. Hii ndiyo sayari yetu, sayari ambayo tumejitengenezea sisi tuishi maisha yetu ambayo tunayapenda na kuyafurahia sisi wenyewe. Hii ndiyo sayari ambayo tumehararisha mambo ya HOVYO kuonekana na vipaumbele vikubwa. Tumewekeza...
BlogUhamisho

Jakaka Tuyisenge ni usajili stahili Simba, si Ulimwengu.

KUMSAINI, Thomas Ulimwengu kama nyongeza katika safu ya mashambulizi ni ´kamari´ itakayowagharimu sana Simba SC kama malengo yao ni kufanya vizuri katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2018/19. Wakati wa usajili wa dirisha kubwa katikati ya mwaka huu, Simba iliwasaini washambuliaji wanne wapya. Marcel Kaheza ambaye alifunga magoli 15 katika...
Blog

YANGA hawaamini kama wanaweza kuishi bila MANJI!

Hapana shaka ndiye aliyewafanya wanachama na wapenzi wa klabu ya Yanga watembee wakiwa wametunisha vifua vyao. Wao ndiyo walikuwa wababe sana!, hakuna ambaye alikuwa anawatisha. Waliamini mitaa yote ilikuwa chini yao. Waliimiliki mitaa yote na kuiweka katika mikono yao. Hakuna ambaye aliweza kuwatisha kwa sababu walikuwa na kikosi imara sana. Kikosi...
Blog

Dylan Kerr kuondoka Gor Mahia.

Taarifa za ndani kutoka kwa Mabingwa wa kandanda nchini Kenya Gor Mahia ni kuwa wanajiandaa na kuondoka kwa Kocha mkuu wa Dylan Kerr. Gor wameanza maandalizi hayo baada ya kuwepo kwa tetesi kuwa kocha huyo ambaye amewapa mataji mawili ya ligi huenda akaondoka na kutafuta sehemu yenye malisho mazuri zaidi....
Blog

Kinachomuumiza ULIMWENGU ni Mafanikio ya SAMATTA!

Mwanzo wake ulionesha kuwa yeye ni mtu ambaye ameumbiwa kwa ajili ya kucheza Ulaya. Alikuwa na ndoto hiyo, na alikuwa akiimba kila uchwao. Alifanya mazoezi kwa juhudi sana, akiamini kuna siku atacheza katika ligi kubwa barani Ulaya. Alitembea na imani hiyo, nguvu za imani yake akaziweka katika miguu yake. Macho...
Blog

Beno na Zayd wagongana mazoezi

Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inaendelea na maandalizi yake ya mchezo wa kuitafuta tiketi ya kufuzu Afcon 2019 dhidi ya Lesotho utakaochezwa Novemba 18,2018 Maseru,Lesotho. Katika mazoezi hayo golikipa Beno Kakolanya na mshambuliaji Yahya Zayd walipumzishwa baada ya kugongana,taarifa ya madaktari wachezaji hao wataendelea na mazoezi kuanzia kesho....
1 61 62 63 64 65 85
Page 63 of 85