Safari hii Yanga itampita mtani wake, Simba itapotezwa vibaya.
Kuna ukweli ambao mashabiki wa Simba hawatokuwa tayari kuusikia. Ukweli ambao utaonekana ni mchungu sana kama ukitokea kwenye macho yao ya nyama.
Mkusanyiko wa Habari na Matukio tofauti ulimwenguni kote.