
Viongozi wa Yanga na GSM katika hafla ya utiaji saini ya uhusiano na Laligaga
Baada ya kumalizika vyema kwa tamasha la wiki ya mwanachi, mipango yote imeelekezwa kwenye ujenzi wa uwanja wa mazoezi wa Yanga.
Injinia Hersi amezungumzia suala hilo na kudhibitisha kuwa ujenzi as uwanja wa mazoezi ya Yanga utaanza hivi karibuni.

“Ule uwanja ambao tulipewa na mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam kwa wakati huo Paul Makonda tumeanza kufanya design na kutafuta mtu wa kufanya naye kazi”.
“Na tumepanga kuwa na viwanja viwili vya mazoezi. Kiwanja cha nyasi bandia na kiwanja cha nyasi ya kawaida pamoja na GYM. Kwa hiyo tuko hatua ya mwisho ya kutafuta mtu wa kufanya naye kazi na hivi punde kamati ya miundombinu kupitia mwenyekiti wake Injia Mwaseba watakuja na taarifa rasmi”. Alimalizia Injinia Hersi
You Might Also Like
Wazee wa moja moja waipumulia Simba!
Bai moja bila dhidi ya Mbeya City, dhidi ya Kagera na sasa dhidi ya Mtibwa Sugar
Simba kuishusha Al-Ahly nchini.
Taarifa kutoka kwa klabu ya Simba imeeleza Al-Ahly wamekubali kushirikiana na Simba katika kujenga kituo cha kukuzia vijana cha soka, pia Alhly kuja nchini kucheza mchezo wa Kirafiki na Simbasc.
Madame Simba CEO, toka ofisini njoo huku uone.
Madam CEO toka sasa kwenye Box lako la U Director maana wakati ni huu na SISI WASWAHILI TUNASEMA USIPOUANIKA UTAULA MBICHI