
Kwa odds nzuri kwenye kubet tembelea Betika https://bit.ly/2Dds8NJ
Klabu ya Yanga imekodi nyumba 15 kwenye eneo la Evic Town ikiwa kuna nyumba zinatumiwa na wachezaji 3, zingine 2 huku baadhi ya viongozi wa Bechi la Ufundi kama kocha mkuu atakaa pekee ake.
-Gharama za kila nyumba ni shilingi 1,143,000/- kwa mwezi mmoja hivyo Yanga italipa kiasi cha shilingi 17,145,000 kwa mwezi, kwa kipindi cha msimu mmoja (miezi 8) Klabu hiyo italazimika kulipa shilingi 137,160,000/-

-Pia Yanga italazimika kulipa gharama za usimamizi wa nyumba, maji na Umeme kwa nyumba moja ni shilingi 150,000 kwa mwezi kwa nyumba 15 ni shilingi 2,250,000 kwa msimu ni jumla ya Fedha Milioni 18 jumla kuu kwa msimu Yanga itatumia shilingi Milioni 155 kwa ajili ya kambi
Unaweza soma hizi pia..
Ilikua ni Sopu dhidi yaYanga.
Sopu alivunjavunja ile 'partnership ' ya Job na Mwamnyeto ya ndani ya klabu na timu ya Taifa, maana huwa wanacheza hivyo hivyo
Yanga yataja siku ya kumtambulisha Aziz Ki!
Senzo Mazingisa pia alikanusha uvumi wa Fiston Mayele kusajiliwa na Kaizer Chiefs na kusema kuna wanahabari wanataka kuwachanganya.
Tamu na chungu za dakika ya mwisho!
Ligi kwa ujumla ilikuwa ngumu na yeye kusisimua licha ya bingwa kupatikana mapema lakini kiwango cha ushindani kilikuwa kikubwa hadi dakika ya mwisho.
Hizi hapa mechi kali zakumalizia Ligi!
Binafsi hii ndiyo michezo mikubwa miwili ninayoiangalia kwa jicho la uoga kwa kuwa ina maamuzi na hatma ya timu. Fiston Mayele na George Mpole!?