Katika Chuji mmoja ulikua unaweza kupata viungo watatu kwa maana ya kiungo wa ulinzi, kiungo mchezeshaji na kiungo mshambuliaji, jamaa soka alilijua na lenyewe likamjua.
Mtoto mmoja wa kishua, kwao maisha si haba kwani Baba yake alitengeneza fedha toka kitambo kupitia soka huku mama yake alivuna matunda kadhaa kwenye mpira wa wavu
Mwaka 2016, klabu hii yenye makombe mengi kuliko klabu yoyote Tanzania ilikumbwa na ukata baada ya aliyekuwa bwanyenye ama tajiri wa chama hilo bwana Yusuph Manji kuamua kuachana na timu hii pendwa nchini Tanzania.
Tupilia mbali mbwembwe za mashabiki wa Arsenal sijui Lacanyavu,Auba,Xhaka boom, na wengine, hapo 2013 dunia ilizizima baada ya Mesut Ozil kutua rasmi kwa washika mtutu wa pale London.
Baada ya Nadri Haroub Ali “Cannavaro” kuagwa kwa heshima miaka michache ilyopita pale Jangwani alivyostafu basi angefuata Kelvin Patrick Yondani “Cotton”, ila mambo hayakuwa hivyo.
Akiwa ameshacheza mechi kadhaa za timu ya Taifa la Italia kuanzia kwa vijana hadi wakubwa, lakini kwa klabu mambo yalikua bado apeche alolo kwa mzaliwa huyo wa Torre Annunziata pale Italy
Tafadhali tumia viungo rasmi kusambaza habari zetu. Facebook, Twitter au Barua Pepe. Kama utataka kutumia habari zetu tuandikie kupitia habari@kandanda.co.tz