Yanga SC yajipanga dhidi ya Ruvu shooting
Mabingwa wa soka Tanzania bara Yanga sc, wapo kwenye maandalizi kabambe ya kuhakikisha wanaibuka na ushindi katika dhidi ya Ruvu shooting ya Pwani Katika mchezo huo wa ligi kuu utakaofanyika Jumapili kunako dimba la Uhuru jijini Dar es salaam, huenda Yanga ikaendelea kuwakosa mshambuliaji Donald Ngoma na mlinzi Abdallah Shaibu...