Kagera sugar yakabwa koo nyumbani
Ligi kuu ya soka Tanzania bara iliendelea leo, kwa mchezo mmoja kupigwa kule Bukoba mkoani Kagera kunako dimba la Kaitba Katika mchezo ambao ulizikutanisha klabu za Kagera Sugar waliowakaribisha waoka mikate Azam FC ambapo zilitoshana nguvu kwa kufungana bao 1-1 Kwa matokeo hayo yanaifanya Azam FC kuifikisha alama 34, na...