Ligi

Habari za Ligi Kuu maarufu Duniani Ligi Kuu (Premier League) hivyo hapa tunakuletea mkusanyiko wa uchambuzi na matukio yanayohusu Ligi Kuu pekee pamoja na Ligi Kuu Tanzania Bara (Ligi Kuu)

Ligi Kuu

Yanga ilikuwa bora zaidi dhidi ya Azam

Ni moja kati ya mechi nzuri ya kuvutia na iliyokuwa na ushindani wa kimbinu kwa pande zote, naweza nikasema timu zimeonesha kwa nini zipo nafasi za juu kunako msimamo wa ligi Azam FC ambao wenyewe ndio walikuwa wenyeji wakicheza kwenye uwanja wao wa Azam complex, ambapo waliingia kwenye mchezo wa...
LigiLigi Kuu

Tshitshimbi Mchezaji Wa Mechi Kubwa?

  Pappy Kabamba Tshitshimbi "Rasta" kiungo maridhawa wa chini kipenzi cha wanajangwani. Utawaambia nini mashabiki wa Yanga kuhusu Pappy wakuelewe? Moja ya viungo bora mpaka sasa kwenye vodacom premier league, huku tukielekea kuhitimisha leo raundi ya  raundi ya kwanza ya VPL. Ameonyesha uwezo mkubwa wa kukaba, kupiga pasi, kuendesha timu...
Ligi Kuu

Siri ya kwanza ni Yanga kukubali kuwa “underdogs”

Leo Yanga wamefanikiwa kuifunga Azam Fc ambayo ilikuwa haijapoteza mechi yoyote msimu huu. Yanga leo kwenye karatasi ilionekana itacheza mfumo wa 4-3-3 lakini uwanjani ilikuwa tofauti kwa sababu walikuwa wanacheza 4-5-1 na 4-2-3-1. Wakati Azam Fc walianza na mfumo wa 4-4-2 baadaye wakaja kucheza 4-1-4-1 na mwishoni wakarudi kwenye mfumo...
EPL

Jezi namba 7 itakuwa nzito au nyepesi kwa Sanchez?

Jana zilipatikana dakika 72 za kwanza za Alexis Sanchez. Dakika 72 ambazo zilimwezesha awe mchezaji bora wa mechi ya jana ya FA CUP dhidi ya Yeovil Town. Hii inatoa tafasri moja, ulikuwa mwanzo mzuri wa Sanchez ikizingatia kila jicho lilikuwa linamtazama yeye kila aliposhika mpira. Lakini hofu aliishusha chini, akawa...
Ligi Kuu

Hiki ndicho kikosi cha pamoja cha Azam FC vs Azam

Azam Fc itamkaribisha kwa mara ya kwanza Yanga katika uwanja wake wa nyumbani wa Azam Complex Rekodi za mashindano yote kati ya hizi timu. Timu hizi zimekutana mara 31 kwenye mashindano yote. Yanga imeshinda mara 12, Azam FC imeshinda mara 11 na zimetoka sare mara 8. Yanga imefunga mabao 41...
Ligi Kuu

Azam vs Yanga katika rekodi zao

Yanga na Azam FC zinatenganishwa na bao moja na ushindi mmoja pekee katika rekodi zao za muda wote katika mashindano yote. Bao linalowatenganisha lilifungwa dakika ya 70 ya mchezo wao wa Aprili Mosi, 2017 na Obrey Chirwa. Rekodi ya Yanga dhidi ya Azam FC Kwa hiyo mchezo huu utakuwa VITA...
Ligi Kuu

Saba wa Yanga kuikosa Azam fc kesho

Mabingwa wa soka Tanzania bara Yanga sc, kesho Jumamosi watakua ugenini kwenye uwanja wa Azam complex kuwakabili wenyeji wao Azam FC Katika mchezo huo wa ligi kuu ya soka Tanzania bara, Yanga itawakosa nyota wake saba waliomajeruhi na mmoja akitumikia adhabu ya kuwa na kadi tatu za njano Wachezaji hao...
EPL

Alaumiwe Sanchez au Arsenal?

Hatimaye Alexis Sanchez siyo mchezaji tena wa Arsenal, ni habari isiyofurahisha kwa mashabiki wa Arsenal lakini ndiyo ukweli wenyewe. Haijalishi unaumiza kiasi gani lakini unatakiwa kukubaliana nao. Kuondokewa na mchezaji muhimu katika kikosi chako. Mchezaji ambaye alikuja kuimarika zaidi katika kikosi chako lakini akakuacha na maumivu. Siyo mara ya kwanza...
EPL

Nini tatizo la Chelsea Msimu huu?

Msimu jana ulikuwa msimu wa kwanza kwa kocha Antonio Conte akiwa Chelsea. Pamoja na kwamba ulikuwa msimu wake wa kwanza akiwa kama kocha wa Chelsea, na msimu wa kwanza kwake akiwa kwenye nchi ya England lakini alifanikiwa kuchukua ubingwa wa ligi kuu ya England. Antonio Conte aliikuta Chelsea ikiwa imefanya...
Ligi Kuu

CAF huenda wakaitembelea Tanzania

Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika CAF litafanya ukaguzi wa mfumo wa leseni kwa vilabu kwenye upande wa miundo mbinu Caf wakankusudia kufanya ukaguzi huo, wa kutembelea na kutazama miundo mbinu ili kuhakikisha mfumo huo unatekelezeka ipasavyo kwa kuanzia na mtazamo wa vigezo vya miundo mbinu Wakati wa miaka...
1 110 111 112 113 114 118
Page 112 of 118