Ligi

Habari za Ligi Kuu maarufu Duniani Ligi Kuu (Premier League) hivyo hapa tunakuletea mkusanyiko wa uchambuzi na matukio yanayohusu Ligi Kuu pekee pamoja na Ligi Kuu Tanzania Bara (Ligi Kuu)

Ligi Kuu

CAF Yataja Waamuzi Wa Mechi Za Kimataifa Kwa Simba Na Yanga

Shirikisho la mpira wa miguu barani Africa CAF limetoa orodha ya waamuzi watakaotumika katika hatua ya awali ya michezo ya Ligi Ya Mabingwa Barani Africa na Kombe La Shirikisho itakayopingwa kuanzia mwezi ujao. Kwa Tanzania itawakilishwa na vilabu Kongwe hapa nchini, YangaFC kwenye Klabu Bingwa na SimbaSC kwenye Kombe La...
Ligi Kuu

Kocha msaidizi wa Mwadui FC afariki Dunia

Kocha msaidizi wa Mwadui FC, Jumanne Ntambi, amefariki dunia usiku wa leo baada ya kuanguka bafuni akiwa anakoga nyumbani kwake mkoani Shinyanga Taarifa zinasema mara baada ya kuanguka kocha Ntambi alikimbizwa hospitali ambako walipofika walisema tayari ameshafariki Ntambi alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa shinikizo la damu na hivi karibuni alikwenda...
Ligi Kuu

Azam fc yaitandika Prisons 2-0

Mabingwa wa kombe la mapinduzj klabu ya soka ya Azam FC, leo hii imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Prisons ya Mbeya, katika mchezo wa ligi kuu ya soka Tanzania bara Katika mchezo huo ambao Azam FC, walikuwa ugenini kunako uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine mjini Mbeya Haikuwa...
Ligi Kuu

Haukuwa muda sahihi kwa Pierre kuja Simba

Rasmi Simba jana imeingia mkataba na kocha Mfaransa Pierre Lenchantre na anatarajiwa kuanza kazi na kikosi cha Simba jumanne. Ni kocha mwenye elimu kubwa ya ukocha , hapana shaka ana mafanikio makubwa pia katika mpira wa Afrika. Mshindi wa Afcon mwaka 2000 akiwa na Cameroon na akafanikiwa kuwa kocha bora...
EPL

10 usiyoyajua kuhusu N’golo Kante

1. Jamaa aliikataa timu ya taifa ya Mali na kuamua kuichezea Ufaransa, huku viongozi wa shirikisho la soka nchini Mali wakijaribu mara mbili kumshawishi Kante kuchezea timu yao lakini aligoma, ingawa alizaliwa Ufaransa wazazi wake ni Raia wa Mali 2. Kwa sasa Kante ni mmoja ya wachezaji wanailipwa vizuri, akiwa...
Ligi Kuu

Kocha mpya Simba aliwahi fukuzwa baada ya mechi tatu tu!

Leo klabu ya Simba imemtangaza Pierre Lechantre kuwa kocha mkuu wa Simba akisaidizana na Masoud Djuma ambaye alichukua ana kaimu nafasi iliyoachwa wazi na kocha Joseph Omong. Pierre Lenchantre ni kocha mwenye elimu kubwa ya ukocha akiwa na cheti cha UEFA pro licence, cheti cha ngazi ya juu kabisa ya...
Ligi Kuu

Msimamizi kituo cha Mtwara afungiwa maisha

Kamati ya maadili ya shirikisho la mpira Tanzania TFF limemfungia kutojihusisha na mchezo wa soka maisha msimamizi wa kituo cha Mtwara Dustan Mkundi kwa kughushi na udanganyifu wa mapato ya mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara kati ya wenyeji Ndanda FC dhidi ya Simba sc ikiwa ni kwenda...
Ligi Kuu

Yanga SC yajipanga dhidi ya Ruvu shooting

Mabingwa wa soka Tanzania bara Yanga sc, wapo kwenye maandalizi kabambe ya kuhakikisha wanaibuka na ushindi katika dhidi ya Ruvu shooting ya Pwani Katika mchezo huo wa ligi kuu utakaofanyika Jumapili kunako dimba la Uhuru jijini Dar es salaam, huenda Yanga ikaendelea kuwakosa mshambuliaji Donald Ngoma na mlinzi Abdallah Shaibu...
Ligi Kuu

Kipi kifanyike ili Yanga ifanye vizuri Klabu Bingwa

Yanga ndiyo bingwa mtetezi wa ligi kuu Tanzania bara. Usisahau kuwa ndiyo atakuwa mwakilishi wetu katika michuano ya klabu bingwa barani Afrika mwezi ujao wa pili. Michuano ambayo ni migumu kwa sababu inakutanisha mabingwa wa Afrika. Hapa unatakiwa uwe na kikosi kipana na imara ili kuweza kushindana katika michuano hii,...
1 111 112 113 114 115 118
Page 113 of 118