CAF Yataja Waamuzi Wa Mechi Za Kimataifa Kwa Simba Na Yanga
Shirikisho la mpira wa miguu barani Africa CAF limetoa orodha ya waamuzi watakaotumika katika hatua ya awali ya michezo ya Ligi Ya Mabingwa Barani Africa na Kombe La Shirikisho itakayopingwa kuanzia mwezi ujao. Kwa Tanzania itawakilishwa na vilabu Kongwe hapa nchini, YangaFC kwenye Klabu Bingwa na SimbaSC kwenye Kombe La...