Ligi

Habari za Ligi Kuu maarufu Duniani Ligi Kuu (Premier League) hivyo hapa tunakuletea mkusanyiko wa uchambuzi na matukio yanayohusu Ligi Kuu pekee pamoja na Ligi Kuu Tanzania Bara (Ligi Kuu)

EPL

United yaibanjua Stoke City

Manchester United imepata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Stoke City, katika mchezo wa ligi kuu ya soka Uingereza maarufu kama EPL Katika mchezo huo uliofanyika usiku wa kuamkia leo kunako dimba Old Trafford, Manchester United walipata bao la uongozi mapema dakika ya 9 kupitia kwa Antonio Valencia akimalizia kazi...
Ligi Kuu

Masoud Djouma amkaribisha Okwi

Kocha wa Simba sc Masoud Djouma, amezungumza na mchezaji wake Emmanuel Arnold Okwi na huenda leo asubuhi akaanza mazoezi na wenzake Kiungo mshambuliaji huyo ameungana na kambi ya Simba iliyopo Morogoro, wakijiandaa na mchezo wa ligi kuu ya soka Tanzania bara dhidi ya Singida United Okwi aliyewasili nchini leo akitokea...
EPL

Maeneo yaliyomuwezesha Klop kumshinda Pep

Jana Jurgen Klopp alifanikiwa kuvunja utawala wa Manchester City wa kwenda mechi mechi 22 bila kufungwa. Anazidi kujiwekea rekodi nzuri dhidi ya Pep Guardiola, mpaka sasa katika michezo 12 waliyokutana Jurgen Klopp kafanikiwa kushinda michezo 6 na kutoka sare mchezo mmoja huku Pep Guardiola akishinda mechi 5. Jana Manchester City...
EPL

Tathmini ya mchezo uliopoteza rekodi ya Man City

Hakika ilikuwa ni vita kati ya 'Gegenpressing' ya Jugen Klop dhidi ya 'Tik tak' ya Pep Guardiola, pamoja na kuonekana kama ni aina ya uchezaji unaofanana lakini kuna utofauti mkubwa wa 'patterns' za uchezaji ndani ya kiwanja huku zote umiliki wa mpira ukiwa ndio msingi mkuu Klop anayetamba na Gegenpressing...
EPL

Liverpool ina nafasi kubwa kuifunga Man City

Leo kuna mechi ambayo inawakutanisha Liverpool na Manchester City katika uwanja wa Anfield. Mechi ya mzunguko wa kwanza Manchester City alifanikiwa kuifunga Liverpool goli 5-0. Leo hii wanakutana wakati ambao Liverpool anatafuta nafasi ya kubaki kwenye nafasi nne za juu na Manchester City akitafuta nafasi ya kujichimbia juu. Manchester City...
EPL

” Nililia kuondoka Arsenal ” – Alexander Hleb

Alexander Hleb huenda likawa sio jina pekee kuingia kichwani pindi unapokumbuka timu ya mwaka 2006 ya Arsenal ambayo ilikaribia kutwaa taji la kwanza la UEFA katika Historia ya klabu. Lakini ilikuwa ndani ya Arsenal ambapo nyota huyo wa kimataifa wa Belarus alicheza kandanda safi katika maisha yake ya soka na...
Ligi Kuu

Mbeya City FC yafanya mabadiliko

Klabu ya Mbeya city fc, imefanya mabadiliko katika benchi lake la ufundi kutokana na uhitaji na nafasi; mabadiliko haya yanahusisha nafasi ya Kocha Msaidizi, Meneja wa Timu na Mtunza vifaa. Mwalimu Mohamed Kijuso amerejea katika timu yake ya awali (Timu B) na ataendelea kuwa kocha wa timu hiyo yenye nyota...
La Liga

Haya ni mambo 10 usiyoyajua kuhusu Pepe

Anaitwa Levran Lima Pereira maarufu kama Pepe Alizaliwa na kukulia chini Brazil lakini alitimkia Ureno akiwa na umri wa miaka 18 Mwaka 2006, baba yake mzazi alisema kuwa amepigiwa simu na kocha wa timu ya taifa ya Brazil akimuhitaji Pepe kikosini lakini mchezaji huyo alikataa na kuamua kuichezea Ureno Alipojiunga...
1 113 114 115 116 117 118
Page 115 of 118