
Kocha msaidizi wa Mwadui FC, Jumanne Ntambi, amefariki dunia usiku wa leo baada ya kuanguka bafuni akiwa anakoga nyumbani kwake mkoani Shinyanga
Taarifa zinasema mara baada ya kuanguka kocha Ntambi alikimbizwa hospitali ambako walipofika walisema tayari ameshafariki
Ntambi alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa shinikizo la damu na hivi karibuni alikwenda hospitali na kushauliwa apumzike na jana aliwatembelea wachezaji wa Mwadui wakati wa mazoezi kwenye uwanja wa Mwadui complex
Marehemu Jumanne Ntambi ni mzaliwa wa Musoma mkoani Mara, ingawa inaelezwa kuwa familia yake inaishi Moshi mkoani Kilimanjaro
Mungu aipumzishe roho ya marehemu mahala pema peponi “Amin”
Unaweza soma hizi pia..
Alli Kamwe: Lengo Yanga na sio Mayele!
Mayele ni mchezaji muhimu kwenye Timu. Yanga inamuhitaji zaidi akiwa Fiti uwanjani kuliko yeye anavyokihitaji kiatu cha Ufungaji bora kabatini kwake.
Msemaji Simba: Mambo ni magumu!
Kila mwanasimba anatakiwa kufahamu hilo na kukubali mambo ni magumu.
Kola na mfupa uliomshinda Mayele!
Licha ya Fiston Mayele kusifiwa na kuoneoana ni moja ya washambuliaji hatari katika Ligi lakini hakufanikiwa kufunga
George Mpole anaishi ndoto zetu!
juhudi binafsi za George Mpole na ndio maana utofauti wa mabao ya kufunga na kufungwa ni 1 kwao lakini yeye pekeake Mpole ana mabao 13.