Jana ya Simba ilipandwa na Manara!
Siyo jambo la busara na siyo la kibusara kabisa kwa shabiki wa mpira wa miguu kufanya shambulio kwa mtu kutokana na aina ya matokeo yanayopatikana ndani ya uwanja. Huu ni ukosefu wa nidhamu, nidhamu ambayo huwa tunaihubiri kila Siku kwa wachezaji wetu kuwa nayo, na kwetu sisi mashabiki tunatakiwa kuwa...