Ligi Kuu

Ligi Kuu

Nani ‘nyanya‘? Klaus 4-3 Stand,au Manula 3-3 Stand? kwanza tuipongeze Stand

MCHEZO wa Yanga SC 4-3 Stand United katika uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jana Jumapili umeweka rekodi kadhaa bora na za kuvutia katika ligi kuu Tanzania Bara msimu huu. Mshambulizi, Alex Kitenge alifunga magoli matatu kwa mpigo na si Hivyo tu, amefunga ‘Hat Trick‘ ya kwanza ya msimu katika...
Ligi Kuu

Kinachomponza Kakolanya ni Utanzania

Hapana shaka Youthe Rostand alifanya vizuri akiwa na African Lyon katika msimu juzi kabla ya msimu jana kuvaa jezi ya wana Jangwani. Timu ya Wananchi!, timu yenye mashabiki wengi hapa Tanzania, kwa kifupi ni timu yenye presha kubwa ndani na nje ya uwanja. Ilikuwa hatua kubwa kwake kutoka African Lyon...
Ligi Kuu

Nagwanda imenifanya nione kesho ya Simba Sc

Ndiyo mabingwa watetezi, tena ubingwa ambao walichukua kwa ustadi mkubwa kuanzia nje ya uwanja mpaka ndani ya uwanja. Walihakikisha wanasajili kikosi imara, chenye nyota wengi mpaka kikawa kinaitwa kikosi cha bilioni 1. Inasemekana lakini kikosi chao cha msimu uliopita kiligharimu bilioni 1!. Watu wengi walitegemea mpira wa bilioni moja, kuanzia...
Ligi Kuu

Hapa Boban kule Chujji sio kitoto leo Uhuru!

Baada ya Ligi kusimama kupisha michezo ya timu za Taifa kwa mujibu wa kalenda ya FIFA, Ligi Kuu Bara (TPL) inaendelea leo kwa michezo miwili. Azam fc watakua wageni wa Mwadui Shinyanga na African Lyon watakua wakiwakaribisha Wagosi wa kaya Coastal Union katika dimba la Uhuru. Mchezo unaotarajiwa kuvuta hisia...
Ligi Kuu

Wateule 20 wa Simba walioifwata Ndanda Mtwara!

Kikosi cha Simba kimekwenda mkoani Mtwara kikiwa na wachezaji 20 tu huku wengine wakibaki jijini Dar na kocha msaidizi Masoud Djuma. Kikosi hicho cha Simba kilichotua Mtwara na ndege majira ya mchana kilipokelewa kwa shangwe na mbwembwe nyingi na mashabiki wa timu hiyo. Wachezaji wa Simba waliosafiri kuelekea Mtwara leo...
Ligi Kuu

Niyonzima na Juuko wamerudi aiseeh!

Ni kama michezo ya kufuzu Afcon nchini Cameron imekuja na neema kwa wachezaji wawili wa Simba baada ya kocha Mfaransa kuwahitaji kikosini kiungo Haruna Niyonzima wa Rwanda na beki Juuko Mursheed wa Uganda. Wachezaji  hao wawili wa Kimataifa  wametakiwa na mwalimu Patrick Aussems baada ya kuonyesha viwango vizuri walipokua wanazitumikia...
Ligi Kuu

Wanaume 20 tu wa Ruvu Shooting, kuiteka Mbeya.

Wachezaji 20 na viongozi 13 wa klabu ya soka ya Ruvu Shooting wanatarajiwa kusafiri asubuhi ya Alhamis wakitokea mkoani Pwani kuelekea jijini Mbeya kwa ajili ya michezo miwili ya ligi dhidi ya Tanzania Prisons na Mbeya City. Ruvu Shooting watakuwa na michezo miwili jijini Mbeya ambapo kwanza watacheza na Tanzania...
1 71 72 73 74 75 94
Page 73 of 94