Kilao: Azam lazima waache pointi Shinyanga
Katibu mkuu wa klabu ya soka ya Mwadui ya mkoani Shinyanga Ramadhan Kilao amesema wamejiandaa vyema kuelekea katika mchezo wao wa tatu wa ligi kuu soka Tanzania bara dhidi ya Azam FC na kwamba safari hii watahakikisha wanapata pointi zote tatu. Akizungumza na mtandao huu Kilao amesema katika michezo miwili...