Mbao FC, ‘Mambo Gawize’ waitoa Yanga kileleni.
Timu ya soka ya Mbao ‘Wabishi’ kutoka jijini Mwanza wameendelea kufanya vyema katika msimu wa 2018/2019 wa ligi kuu soka Tanzania Bara baada ya jioni ya leo kuibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya timu ya soka ya Tanzania Prisons. Katika mchezo huo ambao ulikuwa wa kuvutia katika...