Ligi Kuu

Ligi Kuu

Uhuru Suleiman, Muivory Coast waiponza Biashara United

Kocha mkuu wa Biashara United ya mkoani Mara Hitimana Thiery ameitaja safu yake ya ushambuliaji kuwa ndio chanzo cha kupoteza katika mchezo wa ligi dhidi ya Stand United, kwani mbali na kukosa nafasi nyingi za wazi lakini pia waliwakosa wachezaji tegemeo katika eneo hilo. Akizungumza na mtandao huu, Hitimana amesema...
Ligi Kuu

Anachokisubiri Djuma ni ufalme tuliomwahidi

Joseph Omong, jina ambalo lilikuwa na ukakasi mkubwa ndani ya masikio ya mashabiki wengi wa Simba. Hawakutaka kumsikia katika masikio yao, hata macho yao waliyatia upofu ili mradi wasimuone tu. Ilikuwa inakera kwao kumuona Joseph Omong katika benchi la ufundi. Kwao wao hawakukumbuka rekodi ambazo Joseph Omong aliwahi kuziweka huko...
Ligi Kuu

Lipuli haijapendekeza mabadiliko ya ratiba

Baada ya tetesi kuenea kuwa Mechi kati ya Simba na Lipuli iliyobadilishwa ratiba, imeombwa kuchezwa kama ilivyopangwa awali, Msemaji wa Lipuli Fc, Clement Sanga, amekanusha. Ratiba ya mechi hii ilibadilishwa kutokana na kambi ya timu ya Taifa, ambayo ilikuwa na wachezaji wengi wa klabu ya Simba Sc, ambao kwa sasa...
Ligi Kuu

Inawezekana Salum Chama hajui umuhimu wa waamuzi.

Ligi haina mdhamini mkuu, hiki ni kitu ambacho kinaumiza kichwa sana. Ligi yenye timu 20, timu ambazo zinatoka katika mikoa mbalimbali, mikoa ambayo miundombinu yake siyo rafiki kwa kiasi kikubwa. Miundombinu ambayo inafanya timu nyingi zipate gharama kubwa ya kuendesha timu. Makali ya gharama hizi yalitakiwa kupunguzwa kwa uwepo wa...
Ligi Kuu

Kuna wakati Manara anajing’ata ulimi wake.

Instagram ndiyo sehemu ambayo watu wengi maarufu hapa nchini kwetu hutumia kuonesha maisha yao binafsi na maisha ya biashara zao. Kwenye dunia hii ya sasa kila kitu ni biashara, na ili ufanikiwe kwenye kila kitu unachokifanya lazima ukifanye kwenye jicho la biashara. Ndiyo maana Diamond Platnumz aliondokana na dhana ya...
1 73 74 75 76 77 94
Page 75 of 94