Ligi Kuu

Ligi Kuu

Beki Mwadui FC, aitamani Singida Utd

Beki wa pembeni wa Mwadui FC, Miraji Makka amesema baada ya timu yake kupoteza mchezo wa kwanza dhidi ya Kagera Sugar, wamejipanga kuhakikisha wanaibuka na ushindi dhidi ya Singida United katika mchezo wa ligi Kuu bara utakaofanyika Jumamosi hii kwenye uwanja wa Namfua mjini Singida. Akizungumza na mtandao huu Makka...
Ligi Kuu

Alliance FC ‘kuanza ligi’ dhidi ya African Lyon.

Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano cha klabu ya Soka ya Alliance ya Jijini Mwanza Jackson Luka Mwafulango amesema maandalizi kuelekea katika mchezo wa pili wa ligi dhidi ya African Lyon yanaendelea vizuri. Mwafulango amesema kwa sasa wamesahau yaliyopita katika mchezo wa kwanza dhidi ya Mbao ambapo walipoteza kwa...
Ligi Kuu

Manara awashukia mashabiki wa ‘mitandaoni’.

Anaandika Msemaji wa Klabu ya Simba Sc, Haji Manara. Salaam ...wakati mwingine najiuliza nini wanadaamu wanataka? hasa washabiki wa Mpira!! Nimetalii kidogo kwenye magroup(makundi) machache ya Wanasimba kwenye WhatsApp (mtandao) nimeshangaa baadhi yetu kutokuridhika na ushindi wa leo (jana) wa goli moja dhidi ya Prisons!! Wengine kwenye Instagram wanafika mbali...
Ligi Kuu

Tofauti kati ya Simba ya Lenchantre na ya Patrick.

Nchi nzima ilikuwa Mwanza. Masikio yetu yaliazimwa miamba, macho na akili zetu zikasafiri kwa njia ya maji mpaka Mwanza. Ngao ya jamii lilikuwa tukio ambalo lilifanyika Mwanza na kwa kiasi kikubwa kulikuwa na mafanikio makubwa sana hasa hasa  kwenye hamasa ya mashabiki kuingia  kwa wingi uwanjani. Simba ndiye mabingwa wa...
Ligi Kuu

Naisubiri kesho ndipo nimsifu Karia.

Wallance Karia ndilo jina ambalo wazazi wake waliamua kumpatia, sijui kichwani mwa wazazi wao walikuwa wana waza nini kuhusu maisha ya baadaye ya mtoto wake. Kama ilivyo kwa wazazi bora bila shaka picha ya maisha mazuri ya mtoto wao kwa siku za baadaye ilikuwepo kichwani mwao. Hiyo ndiyo fahari ya...
Ligi Kuu

Cannavaro, Udongo tunaopenda kuupuzia

Zanzibar ndipo kitovu chake kilipozikwa, kitovu ambacho kilikuwa na siri kubwa, siri ambayo ilikuwa inaonesha kuwa kuna mwanasoka imara kazaliwa katika ardhi hiyo. Mwanasoka ambaye mpaka anamaliza maisha yake ya soka kafanya dhambi moja tu nayo ni dhambiya kutocheza soka la kulipwa. Alikuwa na vigezo vingi ambavyo vingemwezesha kuwa mchezaji...
Ligi Kuu

Na safari ianze sasa! Ligi Kuu!

Unaweza kubofya mechi ambayo ungependa ifuatilia hapo. Pazia La Ligi Kuu Soka Tanzania Bara Kwa Msimu Wa Mwaka 2018/2019 Linatarajiwa Kufunguliwa rasmi Jumatano hii ambapo jumla ya viwanja sita vya miji ya Dar es Salaam, Pwani, Mwanza, Tanga, Singida na Bukoba vitawaka moto. Mabingwa watetezi Simba Sports Club watakuwa nyumbani...
Ligi Kuu

Naitwa Laudit Mavugo.

Miaka ishirini na nane (28) iliyopita mishipa ya pua yangu ilipewa ruhusa na mwenyezi Mungu kuvuta hewa ya mji wa Bujumbura katika nchi ya Burundi. Nchi ambayo ilikuwa na hali ya amani hafifu kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe. Sikuweza kujua ni eneo lipi sahihi ambalo litanifaa kusimama nikiwa...
1 74 75 76 77 78 94
Page 76 of 94