Hizi ndizo tofauti kati ya Simba na Yanga msimu huu.
Msimu umemalizika, msimu ambao tumeshuhudia Simba ikibeba kombe kwa mara ya kwanza baada ya miaka mitano huku Yanga akipoteza ubingwa wake baada ya kuchukua kwa mara ya tatu mfululizo, zifuatazo ni tofauti ambazo zilionekana kati ya Simba na Yanga msimu huu. 1: Kipa vs Golikipa Yanga walikuwa na kipa wakati...