Ligi Kuu

Ligi Kuu

Banda alitizama muda, Mahadhi bado anaangalia saa yake

Jua linachomoza ikiwa ni ishara ya mwanga kwenye maisha ya mwanadamu yoyote yule aliyepanga kwenye nyumba inayoitwa dunia. Nyumba ambayo tunapita, nyumba ambayo imebeba watu wenye nia na malengo mbalimbali ili kufikia mafanikio. Mafanikio hufikiwa pale panapokuwa na msukumo wa mtu mwenyewe kutaka kufanikiwa ndiyo maana kuna mtu aliwahi kusema...
Ligi KuuUhamisho

Ukiwataka nyota hawa 10 wa VPL ni bure kabisa!!

Ligi Kuu Bara inaelekea mwisho huku SimbaSc wakiwa katika nafasi nzuri ya kunyakua ubingwa. Achana na ligi kuelekea mwishoni, ligi nyingine ya usajili inatarajiwa kuanza hivi karibuni. Ubabe wa pesa, nguvu ya ushawishi na kukomoana vinatarajiwa kuanza tena kuelekea usajili wa wachezaji kwaajili ya msimu ujao wa ligi yaani 2018/2019!...
Ligi Kuu

Tff yaisubiri Simba sc

Baada ya kitecho alichofanya mlinzi wa Yanga sc, Kelvin Patrick Yondan, kumtemea mate Asante Kwasi katika mchezo wa ligi kuu Vodacom Tanzania bara dhidi ya Simba, Shirikisho la soka nchini (TFF) limetoa tamko Afsa habari wa Shirikisho hilo, Clifford Mario Ndimbo, amesema kuwa bado hawajapokea malalamiko kutoka klabu ya Simba...
Ligi Kuu

Mambo matano niliyoyaona katika ushindi wa Simba vs Yanga

Simba walijiandaa kushindi mechi. Katika mtanange wa watani wa jadi Simba na Yanga jana 29/04/2018 katika uwanja wa Taifa Dar es salaam, umati mkubwa wa mashabiki ulikuwa ni wa Wekundu wa Msimbazi ambapo walifanikiwa kujaza uwanja kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na wapinzani wao Yanga. Hii iliashiria Simba kujiamini kuwa wapo imara...
Ligi Kuu

Jembe Ulaya alia na Kessy

Beki wa zamani wa Yanga sc, na timu ya taifa ya Tanzania Bakari Malima "Jembe Ulaya" amemtolea lawama mlinzi Hassan Ramadhan Kessy kufuatia kutolewa nje kwa kadi nyekundu katika mchezo dhidi ya mahasimu wao Simba Jembe Ulaya Kessy, alitolewa nje kwa kuoneshwa kadi ya pili ya njano na mwamuzi baada...
Ligi Kuu

Rekodi walioiweka Simba baada ya kuifunga Yanga Sc

Klabu ya soka ya Simba Sc maarufu kama Wekundu wa Msimbazi jana walifanikiwa kuwafunga watani wao Yanga Sc bao moja kwa bila lililofungwa na Erasto Edward  Nyoni katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. Baada ya ushindi huo Simba imezidi kujisogeza katika kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu Bara. Pia...
Ligi Kuu

Ipi tofauti ya Simba ya msimu uliopita na msimu huu?

1: Kuna mengi ya kuumiza na kuna wakati mwingine yanakera sana hasa hasa unapotumia nguvu nyingi mwanzoni zikakuishia mwishoni. Hiki ndicho kitu ambacho Simba kilikuwa kinawakera na kuwaumiza sana hasa hasa msimu uliopita. Walifanikiwa kuongoza kwa tofauti ya alama nane dhidi ya Yanga lakini mwisho wa ligi Yanga ilichukua ubingwa...
Ligi Kuu

Hii ndio ‘Derby’ ya Kariakoo kesho!

Kesho Kariakoo derby itapigwa kunako uwanja mkuu wa taifa jijini Dar es salaam, mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara kati ya Simba SC, dhidi ya Yanga SC Hakika utakuwa ni mchezo wenye ushindani mkubwa kwa kutazamia ubora wa vikosi, uhitaji wa alama tatu na nafasi katika jedwari la...
1 80 81 82 83 84 94
Page 82 of 94