Nafasi ya Manji inatakiwa kujazwa
Shirikisho la soka nchini ( TFF) limeziagiza vilabu vya Coastal Union na Yanga sc, kufanya uchaguzi ili kuziba nafasi zilizoachwa wazi na viongozi wao waliojiuzuru. Kwa mujibu wa balua iliyotoka kwa kaimu Katibu mkuu wa Shirikisho hilo kwenda kwa Mwenyekiti wa Kamati ya uchaguzi ya Shirikisho hilo, Rovacatus Kuuli, imezitaka...