Baada ya usajili wa dirisha dogo kufungwa December 15 vilabu mbalimbali vimetoa orodha ya wachezaji walioingia na waliotoka! African Lyon. Waliotoka: Haruna Moshi -Yanga Adam Omary Prison Walioingia mkopo Swaleh Abdallah (Azam) na Adil Nassor (Coastal Union) AZAM FCWalioingia: Obrey Chirwa - Nogoom El Mostakbal ya Misri. ...
Klabu ya soka ya Alliance School ya jijini Mwanza imetoa taarifa ya usajili walioufanya katika dirisha dogo la usajili ambalo limefungwa usiku wa kuamkia leo. Katika taarifa hiyo iliyotolewa na Afisa Habari Jackson Luka Mwafulango, imeonesha kuwa Alliance imewasajili wachezaji watano akiwemo mshambuliaji wa kutegemewa wa Stand United ya Shinyanga...
Habari ambazo zimeenea na viongozi wa Yanga kuwa na kigugumizi kuthibitisha ni kuwa kiungo wa African Lyon na aliyewahi kuchezea Simba, Haruna Moshi "Boban" kuwa amesajiliwa na klabu ya Yanga.
Klabu ya soka ya African Lyon imesema haiwezi kuzungumza lolote kuhusu kuondoka kwa Haruna Moshi Boban ambaye anahusishwa na kujiunga na Yanga SC Kwani bado hawana uhakika na usajili huo na zingine.
Zana Coulibaly, beki wa kulia, atambulishwa rasmi na klabu ya Simba leo hii. Zana anakuja kuongeza nguvu katika nafasi ya Shomari Kapombe ambae ni majeruhi sasa. Uchambuzi zaidi kufuata.......