Uhamisho

Dondoo, Taarifa, Uchambuzi na Matukio yanayohusu uhamisho wa wachezaji Ligi zote Ulimwenguni

Ligi KuuUhamisho

Usajili kamili wa dirisha dogo!

Baada ya usajili wa dirisha dogo kufungwa December 15 vilabu mbalimbali vimetoa orodha ya wachezaji walioingia na waliotoka!  African Lyon. Waliotoka: Haruna Moshi -Yanga Adam Omary Prison Walioingia  mkopo Swaleh Abdallah (Azam) na Adil Nassor (Coastal Union)  AZAM FCWalioingia: Obrey Chirwa - Nogoom El Mostakbal ya Misri.         ...
LigiUhamisho

Hawa ndio waliosajiliwa/ kuondoka Alliance Sch FC

Klabu ya soka ya Alliance School ya jijini Mwanza imetoa taarifa ya usajili walioufanya katika dirisha dogo la usajili ambalo limefungwa usiku wa kuamkia leo. Katika taarifa hiyo iliyotolewa na Afisa Habari Jackson Luka Mwafulango, imeonesha kuwa Alliance imewasajili wachezaji watano akiwemo mshambuliaji wa kutegemewa wa Stand United ya Shinyanga...
Ligi KuuUhamisho

Mbadala wa Kapombe

Zana Coulibaly, beki wa kulia, atambulishwa rasmi na klabu ya Simba leo hii.  Zana anakuja kuongeza nguvu katika nafasi ya Shomari Kapombe ambae ni majeruhi sasa. Uchambuzi zaidi kufuata.......
1 13 14 15 16 17 22
Page 15 of 22