Uhamisho

Dondoo, Taarifa, Uchambuzi na Matukio yanayohusu uhamisho wa wachezaji Ligi zote Ulimwenguni

TetesiUhamisho

Humoud apata timu

Baada ya kuondolewa katika klabu ya KMC, Humoud Abdulkarim Ali, , kwa sababu nyingi ikiwemo kusumbua wake za wachezaji wenzake, inasemekana amepata timu. Tetesi ambazo tumepata zinasema Humuod atajiunfa na klabu ya Coastal Union kutoka Tanga. Humud alitolea maelezo tuhuma alizopew na KMC na kuzikana zote....
Ligi KuuUhamisho

98% , Chirwa ni mchezaji wa AZAM FC.

Jana kulizagaa habari za Obrey Chirwa kusajiliwa na klabu ya Azam Fc. Tovuti yako ya Kandanda.co.tz iliamua kumtafuta manager wa klabu hiyo ya Azam Fc , Philipo Alando kutudhibitishia ukweli huo. Philipo Alando alipoulizwa kuhusu usajili huo alijibu kwa kifupi kuwa 98% , Obrey Chirwa kasajiliwa na klabu ya Azam...
Ligi KuuUhamisho

Obrey CHIRWA kwenda Azam Fc ni pigo kwa YANGA

Msimu jana ulikuwa mgumu sana kwa Yanga kuanzia ndani mpaka nje ya uwanja. Ilikuwa Yanga ambayo ilikuwa na matatizo mengi sana. Matatizo ambayo yalichangia kwa kiasi kikubwa wao kupoteza ubingwa wao kwa wapinzani wao Simba. Haikuwa Yanga ile ambayo tulikuwa tumeizoea, Yanga ambayo ilifanikiwa kuchukua ubingwa wa ligi kuu Tanzania...
TetesiUhamisho

Chirwa kutua Azam Fc

Aliyewahi kuwa mshambuliaji wa klabu ya Yanga, Obrey Chirwa inawezekana akatua katika klabu ya Azam FC. Taarifa za ndani zinasema kuwa mpaka sasa Obrey Chirwa ana nafasi kubwa ya kutua kwenye timu hiyo yenye makazi yake Chamanzi, Dar-es-Salaam. Obrey Chirwa aliachana na Klabu ya Yanga mwishoni mwa msimu uliopita na...
Ligi KuuUhamisho

Humoud huzengea wake za wachezaji wenzake!

Klabu ya soka ya Manispaa ya Kinondoni (KMC) imeridhia kuvunja mkataba na kiungo mkongwe Humoud Abdulharim Ali baada ya kuridhika kuwa amekuwa mtovu wa nidhamu kwa kuwatongoza wake na wachumba wa wachezaji wenzake. Akizungumza na mtandao huu katibu msaidizi wa KMC Walter Urio amesema walipata malalamiko kutoka kwa mchezaji anayelala...
TetesiUhamisho

Mshambuliaji wa Simba kutua KMC

Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Simba sc  Elius Maguri huenda akajiunga na timu ya Manispaa ya Kinondoni (KMC). Elius Maguri ni kama wamemalizana kila kitu na KMC huku likisubiriwa dirisha dogo la usajilii lifunguliwe ili aweze kuitumikia timu yake hiyo mpya. Na leo alikuepo jukwaani kushuhudia mchezo kati ya...
Uhamisho

Safari ya Ulimwengu kwenda Yanga yaiva!

Mshambuliaji wa zamani wa Tp Mazembe ambaye pia ni mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) amevunja rasmi mkataba wake na klabu ya Al Hilal ya Sudan. Imeripotiwa Mshambuliaji Thomas Ulimwengu amevunja mkabata wake na klabu ya Al Hilal ya Sudan akiwa amedumu kwa miezi mitano tu. Kabla...
EPLUhamisho

David de Gea mlango uko wazi

Kwa mara ya kwanza, Jose Mourinho, kocha wa Manchester United, amekiri kuwa ana wasiwasi David Degea hataweza kuongeza mkataba wake wa kuitumikia Manchester United, imeripotiwa. Mkataba wa Degea unaisha katika majira ya joto, na katika mkataba huo kuna kifungu kinachoiruhusu Man Utd kumuongezea mkataba wa hadi miezi 12. Degea toka...
1 15 16 17 18 19 22
Page 17 of 22