Baada ya sintofahamu kutokana na maamuzi mbalimbali ya marefa wetu hapa nchini TFF imeamua kuongeza idadi ya waamuzi watakaochezesha mchezo wa robo fainali ya Azam Sports Federation Cup.
Unatoka kucheza na Azam FC mechi inayofuata ni dhidi ya Yanga. Swali kubwa ni namna ambavyo wao wangeweza kushinda mechi dhidi ya Azam FC huku wakiwa na presha ya homa ya mechi dhidi ya watani wao.
Ajib amepewa kazi maalum ya kusaidiana na Meddie Kagere katika eneo la ushambuliaji la Simba mbele ya Wajelajela Tanzania Prisons ambao wanasifika kwa soka la kutumia nguvu haswa.