Aidha rais Infantino pia ameonyesha kuheshimu na kumshukuru Rais wa TFF Wallace Karia kwa juhudi zake kubwa katika kukuza mchezo wa soka katika Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati [CECAFA].
Mawinga wa sasa hawakai ukingoni mwa uwanja muda mwingi wanacheza kama viungo wa kati na kukimbilia kwenye box ili kufunga moja kwa moja kitu ambacho yeye hakifanyi.