Ligi KuuUhamisho

98% , Chirwa ni mchezaji wa AZAM FC.

Sambaza....

Jana kulizagaa habari za Obrey Chirwa kusajiliwa na klabu ya Azam Fc. Tovuti yako ya Kandanda.co.tz iliamua kumtafuta manager wa klabu hiyo ya Azam Fc , Philipo Alando kutudhibitishia ukweli huo.

Philipo Alando alipoulizwa kuhusu usajili huo alijibu kwa kifupi kuwa 98% , Obrey Chirwa kasajiliwa na klabu ya Azam Fc. Hakutaka kujibu kwa kirefu hizo 2% zilizobaki ni za makubaliano yapi kati yao na Obrey Chirwa.

Kinachosubiriwa ni Azam Fc kumtambulisha rasmi Obrey Chirwa ambaye inasemekana amesaini kandarasi la miaka miwili.

Chirwa akitambulishwa

Sambaza....
Subscribe
Notify of

0 Maoni
Inline Feedbacks
Tazama Maoni Yote
0
Tungependa kupata maoni yako, tafadhali tuambiax
()
x