
Abdul Hillary (KMC FC)
Wakati gani unahitaji kusheherekea? bila shaka ni wakati ambapo umefikia malengo ya kipindi husika. Hii ndio maana wachezaji hadi makocha hushangilia kwa ku’slide’, ikionyesha jinsi raha ilivyo katika kupachika bao.
Kandanda ikishirikiakiana na Mgahawa Cafe, huchukua shangwe ile uwanjani kila mwezi na kuileta nje ya uwanja kwa kusheherekea na mchezaji ambaye alifunga mabao mengi katika Ligi Kuu Tanzania Bara ndani ya mwezi husika.

Leo tumemkabidhi zawadi zake Abdul Hillary, mchezaji wa KMC baada ya kuibuka galacha wa magoli wa Ligi Kuu Tanzania bara kwa mwezi Disemba 2019.
Kwa upande wake ameishukuru Kandanda kwa kutambua juhudi zake uwanjani na kukiri hii itawaongezea motisha wachezaji wengi ili kufunga zaidi.


Unaweza soma hizi pia..
Azam kujimaliza yenyewe mbele ya Simba!
Miongoni mwa maeneo yatakayopa ushindi Simba katika mchezo huo ni eneo la kiungo na eneo la mlinda mlango.
Kola tishio jipya kwa Onyango na Inonga
Hazikupita siku nyingi Mayele akakutana na Simba na kutiwa mfukoni na Mcongo mwenzake Inonga Baka na kupeleka kuzima mtetemo wake
Mbinu mpya za Yanga zilizoacha lawama kwa kipa wa Dodoma Jiji
Nasredeen Nabi ilimlazimu kutoka katika mfumo wake wa siku zote wa kumtegemea Fiston Mayele na kubadili mbinu ili kupata ushindi.
Kipa Dodoma katolewa tuu kafara!
Ndani ya miaka miwili unataka kuniambia ameisha kabisa? Je hatupaswi kumshukia kocha wake wa makipa?