Ajib
Tetesi

Ajibu ‘Abutua’ dili la Mazembe

Sambaza....

Ajibu kwenda TP Mazembe

Hatimaye TP Mazembe hawataendelea na mazungumzo ya kumuhitaji kiungo wa Yanga, Ibrahim Ajib ambaye mkataba wake umeisha kuitumikia klabu ya Yanga.

Barua pepe

Barua pepe iliyotumwa kwa klabu ya Yanga, imeeleza wazi kuwa wamejiondoa kutafuta huduma ya Ajibu baada ya kushindwa kukubaliana naye. Tetesi zinasema Ajib alitaka malipo makubwa zaidi.

Sambaza....
Subscribe
Notify of

0 Maoni
Inline Feedbacks
Tazama Maoni Yote
0
Tungependa kupata maoni yako, tafadhali tuambiax
()
x