Tshishimbi kuondoka Yanga, arudisha pesa za GSM
Kiungo mahiri wa klabu ya Yanga Papy Kabamba Tshishimbi ameshamaliza mkataba na Yanga , mpaka sasa hivi inavyoonekana hakuna mazungumzo ambayo yameshafanyika kati yake na Yanga kuhusu kuongeza mkataba. Papy Kabamba Tshishimbi alifanya mazungumzo na mtandao huu wa www.kandanda.co.tz , kwanza alisema msimu uliopita ulikuwa mbaya kwake. "Nashukuru Mungu msimu...