Martin Kiyumbi

Mchambuzi
Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
Uhamisho

Tshishimbi kuondoka Yanga, arudisha pesa za GSM

Kiungo mahiri wa klabu ya Yanga Papy Kabamba Tshishimbi ameshamaliza mkataba na Yanga , mpaka sasa hivi inavyoonekana hakuna mazungumzo ambayo yameshafanyika kati yake na Yanga kuhusu kuongeza mkataba. Papy Kabamba Tshishimbi alifanya mazungumzo na mtandao huu wa www.kandanda.co.tz , kwanza alisema msimu uliopita ulikuwa mbaya kwake. "Nashukuru Mungu msimu...
Uhamisho

Simba yawapora mchezaji Yanga !

Simba inaendelea na usajili kwa ajili ya kujiimalisha na msimu ujao ambapo itashiriki ligi ya mabingwa barani Afrika pamoja na ligi kuu Tanzania bara. Mpaka jana klabu ya Simba ilikuwa imefikia hatua nzuri ya kumsajili kiungo mshambuliaji wa KMC FC Charles Martin Ilanfia. Awali Charles Martin Ilanfia alikuwa akitakiwa na...
Tetesi

Makambo kutimkia Simba ?

Klabu ya Yanga inaweza kuzidiwa mbio za kumsajili aliyewahi kuwa mshambuliaji wao wa zamani Heritier Makambo baada ya Simba kuingia kwenye mbio za kumsajili mshambuliaji huyo ambaye kwa sasa anakipiga Horoya FC ya Guinea. Taarifa za ndani zinadai kuwa Herieter Makambo anawindwa kwa udu na uvumba na mabingwa wa soka...
Blog

FIFA kumfungia Luc Eymael ?

Baada ya maneno machafu ambayo yalionekana kuwaudhi wapenzi wengi wa mpira hapa nchini kutoka kwa Luc Eymael , mambo yameanza kuonekana kuwa magumu kwake kutokana na kuanza kupitia changamoto mbalimbali. Yanga wamemfuta kazi mpaka sasa hivi. Jana pia shirikisho la mpira Afrika Kusini limemfungia kufundisha  mpira katika nchi ya Attila...
Tetesi

Awesu Awesu huyooo YANGA

Msimu wa ligi kuu wa mwaka 2019/2020 uliomalizika mwishoni mwa wiki jana  Kagera Sugar ilikuwa ni moja ya timu ambayo ilionesha kiwango na ushindani mkubwa sana kwenye ligi chini ya kocha wao Mecky Mexime. Mecky Mexime alifanikiwa kuijenga timu ikawa inacheza kitimu zaidi huku baadhi ya wachezaji wakionesha kiwango kikubwa...
Blog

Naipenda Yanga – MWINYI ZAHERA

Jana Yanga walimfukuza kazi kocha wao mkuu , Luc Eymael. Baada ya Luc Eymael kufukuzwa maneno yamekuwa mengi kuhusiana na kocha ambaye anatajwa kwa ajili ya kuchukua nafasi yake. Yanatajwa majina mengi kuja kuchukua nafasi ya Mbelgiji huyo.  Kocha wa zamani wa Simba , Patrick Aussems anatajwa kwenye orodha hiyo...
Blog

Msimu ujao SIMBA wasimtegemee WAWA

Mechi ya mwisho ya ligi kuu  Simba walikuwa wanacheza na Coastal Union katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga ambapo timu zote zilitoka suluhu , katika mchezo huo tukio kubwa lilikuwa la beki wa Simba , Pascal Wawa kupewa kadi nyekundu. Pascal Wawa alipewa kadi nyekundu baada ya kumchezea vibaya mshambuliaji...
EPL

Jamie Vardy avunja rekodi ya Drogba!

Ligi kuu ya England imemalizika leo kwa kushuhudia Liverpool kubeba imebeba taji lake la kwanza baada ya miaka 30 , wakati huo huo timu nne ambazo zimefanikiwa kufuzu ligi ya mabingwa barani Ulaya msimu ujao ni Liverpool, Manchester City , Manchester United na Chelsea. Kwenye tamati hii ya ligi kuu...
Blog

Nifukuzeni Yanga – Mwakalebela

Makamu mwenyekiti wa Yanga , Fredrick Mwakalebela amedai kuwa amechoshwa na maneno mengi yanayotokea ndani ya klabu hiyo, maneno ambayo yanarushwa kwake kila uchwao. Hali ambayo imemchosha mpaka kufikia hatua ya kulia. Akiongea na kituo cha WASAFI FM huku akilia , Fredrick Mwakalebela amedai kuwa ameanza kuandamwa tangu zamani ila...
Blog

Mkwasa afukuzwa Yanga !

Kocha wa Yanga, Luc Eymael amemuondoa kikosini msaidizi wake, Boniface Mkwasa na kocha wa makipa, Peter Manyika wakati wakijiandaa kuikabili Mtibwa jioni ya jana mjini Morogoro. Luc Eymael licha ya kutoweka wazi sababu alitamka jana wakati anazungumza na waandishi wa habari kuwa . “Mimi ni Kocha mwenye weledi.Nimewaacha na kwenda...
1 5 6 7 8 9 79
Page 7 of 79