Tshishimbi amfuata Morrison SIMBA
Baada ya mshambuliaji wa Yanga , Bernard Morrison kwenda katika klabu ya Simba , aliyewahi kuwa kiungo wa klabu hiyo Papy Kabamba Tshishimbi yuko njiani kuelekea Simba. Papy Kabamba Tshishimbi ambaye amemaliza mkataba wake na Yanga. Mazungumzo ya mkataba mpya kati yake na Yanga kuhusu mkataba mpya yalishindikana hivo wakaachana...