
Wachezaji wa Simba wakishangilia mbele ya mashabiki wao
Shirikisho la mpira wa miguu barani Africa CAF limeonyesha kuikubali rekodi ya Simba katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Africa na kuthibisha ndio baba lao katika kupindua matokea.
Ipo hivi mwaka 1979 Simba ilicheza na Mufulira Wonderers ya Zambia jijini Dar es salaam katika mchezo wa raundi ya kwanza wa Ligi ya mabingwa. Simba ilikubali kichapo cha mabao manne kwa sifuri, lakini katika mchezo wa ugenini Simba ilikwenda Zambia na kupindua matokeo matokea nakushinda mabao matano kwa sifuri.
Katika ukurasa rasmi wa CAF wa instagram Caf online wametupia mchezo huo huku wakisema ni Simba pekee ndio wanaoshikilia rekodi hiyo ya “Comeback” ya nguvu mpaka sasa katika michuano hiyo.
Unaweza soma hizi pia..
Msemaji Simba: Mambo ni magumu!
Kila mwanasimba anatakiwa kufahamu hilo na kukubali mambo ni magumu.
Kola na mfupa uliomshinda Mayele!
Licha ya Fiston Mayele kusifiwa na kuoneoana ni moja ya washambuliaji hatari katika Ligi lakini hakufanikiwa kufunga
Alli Kamwe: Kumbe bila moto wanateseka!
: Asante Moalin. Asante Pablo Franco, Mechi ilichezwa sana kwenye mbinu kisha ikamalizikia kwenye Ufundi wa wachezaji.
Azam kujimaliza yenyewe mbele ya Simba!
Miongoni mwa maeneo yatakayopa ushindi Simba katika mchezo huo ni eneo la kiungo na eneo la mlinda mlango.