Chama cha Soka Afrika Kusini waishtaki Simba CAF.
Na ina uwezo wa kuharibu uwanja na tunaamini haikuwa kwa njia yoyote inayohusiana na michezo
Usiku wa Balaa!
Kwa sasa, jana na kesho Simba Sponga ndio babalao na ndio chuo kikuu cha soka bongo. Imefanikiwa kutinga robo fainali tena ya kombe la shirikisho. Balaa lake ni lipi? Soma hii.
Hesabu za Simba kutinga robo fainali kuna kaugumu fulani hivi…
Dalili ya awali kabisa kwa kundi hili ni kila mmoja kuonekana kuwa na uwezo wa kushinda kwake. Simba hesabu zake zinafeli?
CAF yakubali rekodi ya Simba Ligi ya mabingwa
Simba pekee ndio wanaoshikilia rekodi hiyo ya "Comeback" ya nguvu mpaka sasa katika michuano hiyo.
Saido Mane apagawa na Diamond Platnumz !
Jana kulikuwa na halfa ya utoaji tunzo za soka barani Afrika zinazoandaliwa na shirikisho la soka barani Afrika (CAF) ambapo...
CAF ya Ahmad Ahmad mikononi mwa FIFA
CAF hivi karibuni imekumbwa na tuhuma mbalimbali zinazohusiana na masuala ya rushwa.
Ahmad Ahmad akamatwa Ufaransa
Taarifa hizi zimethibitishwa na FIFA, lakini hakuna sababu za wazi za kukamatwa kwake
Malipo kwa Karia yaliidhinishwa!
Kitu muhimu cha kujiuliza, pesa hizo zimefanya nini katika soka letu? Majibu pia utayapata hapa hapa.
Kuelekea Afcon: tujikumbushe timu shiriki
Timu hizo zimegawanyika katika makundi mawili yaani kundi A na B. Ambapo washindi wawili (wa kwanza na wapili) kila kundi watapata nafasi ya kufuzu nusu fainali.
CAF yalia na waandishi wazushi, ni ishu ya Rais Ahmad.
Shirikisho la soka barani Afrika CAF limekanusha taarifa zilizokuwa zikizagaa mitandaoni na kwenye vyombo mbalimbali vya habari barani Afrika kuwa...