
Zahera Yanga
Timu ya Gwambina FC iliyopanda ligi kuu msimu huu inaendelea kujiimarisha kuelekea katika msimu mpya kwa kufanya sajili mbalimbali kwenye kikosi chao.
Kuna taarifa ambazo zinadai kuwa aliyewahi kuwa kocha mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera anatazamiwa kurudi nchini kuifundisha timu hiyo ya Misungwi , Mwanza.
Kocha huyo ambaye alidumu na Yanga kwa muda wa mwaka mmoja inasemekana ameanza mazungumzo na klabu hiyo ya Gwambina FC kwa ajili ya kuja kuinoa klabu hiyo.
Unaweza soma hizi pia..
Alli Kamwe: Lengo Yanga na sio Mayele!
Mayele ni mchezaji muhimu kwenye Timu. Yanga inamuhitaji zaidi akiwa Fiti uwanjani kuliko yeye anavyokihitaji kiatu cha Ufungaji bora kabatini kwake.
Msemaji Simba: Mambo ni magumu!
Kila mwanasimba anatakiwa kufahamu hilo na kukubali mambo ni magumu.
Kola na mfupa uliomshinda Mayele!
Licha ya Fiston Mayele kusifiwa na kuoneoana ni moja ya washambuliaji hatari katika Ligi lakini hakufanikiwa kufunga
Mbinu mpya za Yanga zilizoacha lawama kwa kipa wa Dodoma Jiji
Nasredeen Nabi ilimlazimu kutoka katika mfumo wake wa siku zote wa kumtegemea Fiston Mayele na kubadili mbinu ili kupata ushindi.